Mbunge ahoji hatma zao la mkonge
MBUNGE wa Korogwe Mjini, Yusufu Nassir (CCM), ameitaka serikali ieleze ni hatua gani zimechukuliwa juu ya kauli iliyotolewa kuhusu hatma ya zao la mkonge na wafanyakazi wa mashamba kuhusu mafao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p3wTJ4e5iH8/XtTeS_sL_8I/AAAAAAALsNI/vO7r25_WXeY7Bvpo2hb5feabrA6drjsiwCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
Serikali Imerudisha Heshima ya Zao la Mkonge- Waziri mkuu
![](https://1.bp.blogspot.com/-p3wTJ4e5iH8/XtTeS_sL_8I/AAAAAAALsNI/vO7r25_WXeY7Bvpo2hb5feabrA6drjsiwCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Katika ziara hiyo Waziri Mkuu amesema kuwa, Tanzania ni moja ya nchi ambayo ilikuwa mzalishaji mzuri wa zao hilo katika kipindi cha miaka 60 iliyopita ambapo ilikuwa inazalisha tani zaidi ya 235,000 ikiwa ni nchi ya...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI MAALUM YA KUIMARISHA ZAO LA MKONGE.
5 years ago
MichuziMAJALIWA AZUNGUMZA NA WAJUMBE KAMATI MAALUM YA KUIMARISHA ZAO LA MKONGE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yYN1qIGCeU/XqU-JL1MguI/AAAAAAALoQE/N4FceQkP5ugVUBTUmY-2oH5XoS-5NPkdgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWAAGIZA TEMDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUKAMUA MIWA NA KUCHAKATA ZAO LA MKONGE.
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Arusha alipokuwa akizindua mashine 14 za kisasa zinazoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta yaani CNC zikiwa na thamani ya shilingi milioni 600 zilizotolewa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Mbunge ahoji rushwa za TRA bandarini
MBUNGE wa Viti Maalumu Dk. Pudenciana Kikwembe (CCM), jana aliihoji serikali akitaka kujua namna ilivyopunguza rushwa kupitia Mamlaka ya Mapato (TRA) upande wa bandari tangu kuanzishwa kwa mfumo mpya wa...
10 years ago
Vijimambo21 May
Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Easter-21May2015.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.
Alisema hayo wakati...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Mbunge ahoji polisi kubanwa kujiendeleza
MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchesta Rwamlaza (CHADEMA) ametaka kujua sababu za Jeshi la Polisi na Magereza kuwanyima askari wake kujiendeleza kwa ngazi ya elimu ya juu. Akiuliza swali bungeni jana,...
11 years ago
Habarileo16 May
Mbunge ahoji udhibiti wa dawa feki
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara na kampuni ambazo zimekuwa zikiingiza dawa bandia za binadamu. Alitoa kauli hiyo bungeni leo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu (CCM).
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mbunge ahoji uteketezaji mbolea feki
MBUNGE wa Kiembe Samaki, Waride Bakari Jabu (CCM) ameihoji serikali ina utaratibu gani wa kuteketeza mbolea feki ambazo zimekuwa zikiingizwa nchini. Waride alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akiuliza swali...