WAZIRI BASHUNGWA AWAAGIZA TEMDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUKAMUA MIWA NA KUCHAKATA ZAO LA MKONGE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3yYN1qIGCeU/XqU-JL1MguI/AAAAAAALoQE/N4FceQkP5ugVUBTUmY-2oH5XoS-5NPkdgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ametoa rai kwa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo Tanzania (TEMDO) kuhakikisha wanawasaidia wajasiliamali wadogo na wa kati kubuni mashine za kutengeneza sukari pamoja na kuchakata katani ili kufungua fursa ya ajira na ongezeko la viwanda nchini.
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Arusha alipokuwa akizindua mashine 14 za kisasa zinazoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta yaani CNC zikiwa na thamani ya shilingi milioni 600 zilizotolewa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p3wTJ4e5iH8/XtTeS_sL_8I/AAAAAAALsNI/vO7r25_WXeY7Bvpo2hb5feabrA6drjsiwCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
Serikali Imerudisha Heshima ya Zao la Mkonge- Waziri mkuu
![](https://1.bp.blogspot.com/-p3wTJ4e5iH8/XtTeS_sL_8I/AAAAAAALsNI/vO7r25_WXeY7Bvpo2hb5feabrA6drjsiwCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Katika ziara hiyo Waziri Mkuu amesema kuwa, Tanzania ni moja ya nchi ambayo ilikuwa mzalishaji mzuri wa zao hilo katika kipindi cha miaka 60 iliyopita ambapo ilikuwa inazalisha tani zaidi ya 235,000 ikiwa ni nchi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s72-c/MMG_2917.jpg)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s640/MMG_2917.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PeMavfyeBsY/Vm6aRt_5nmI/AAAAAAAIMRY/8aipDHh_aiI/s640/MMG_2894.jpg)
11 years ago
MichuziVIKUNDI 6 VYAKABIDHIWA MASHINE ZA KUKAMUA ASALI
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Utafiti mashine ya kuchakata katani wakamilika
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s72-c/unnamed+(4).jpg)
wanakijiji wa babati wapatiwa mashine za kukamua ufuta
![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SRuHYQzZlv4/U2MvnLXZTrI/AAAAAAAFew4/7GQYdbzWQxQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Wanunua mashine za kupakilia miwa
Na Igamba Libonge, Kilombero
CHAMA cha Wakulima wa Miwa cha Msolwa Ujamaa (MUCGA), wilayani Kilombero kimenunua mashine mbili za kupakilia miwa zenye thamani ya sh. milioni 264.8.
Chama hicho pia kwa mwaka huu kinatarajia kununua magari sita yenye thamani ya sh. milioni 400 kwa ajili ya kusombea miwa ya wanachama na kujenga ofisi mpya itakayowagharimu sh. milioni 250.
Hayo yamesemwa juzi na Mwenyekiti wa MUCGA, Sebastian Sangilindege, alipokuwa akisoma taarifa ya chama katika mkutano mkuu....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VT_xuSE_JP4/XqrJMxbF4-I/AAAAAAALoqY/Et_jwdifEhsh56vwLhvXi61TdsBwKtoPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BASHUNGWA AWAPONGEZA MUHIMBILI KWA KUTENGENEZA VAZI MAALUMU LA WAUGUZI.
“Nawapongeza hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) ya wauguzi Mungu awabariki na kuwalinda wauguzi wetu”.
Aidha, amevipongeza viwanda vyote nchini kwa kuendelea kuhakikisha vinatoa mchango mkubwa kwa kipindi hiki cha kupambana na ugojwa...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Mbunge ahoji hatma zao la mkonge
MBUNGE wa Korogwe Mjini, Yusufu Nassir (CCM), ameitaka serikali ieleze ni hatua gani zimechukuliwa juu ya kauli iliyotolewa kuhusu hatma ya zao la mkonge na wafanyakazi wa mashamba kuhusu mafao...
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10