Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI BASHUNGWA AWAAGIZA TEMDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUKAMUA MIWA NA KUCHAKATA ZAO LA MKONGE.

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ametoa rai kwa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo Tanzania (TEMDO) kuhakikisha wanawasaidia wajasiliamali wadogo na wa kati kubuni mashine za kutengeneza sukari pamoja na kuchakata katani ili kufungua fursa ya ajira na ongezeko la viwanda nchini.

Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Arusha alipokuwa akizindua mashine 14 za kisasa zinazoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta yaani CNC zikiwa na thamani ya shilingi milioni 600 zilizotolewa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Serikali Imerudisha Heshima ya Zao la Mkonge- Waziri mkuu

Mwandishi Wetu-MAELEZOWAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amezindua rasmi jengo la Bodi ya Mkonge Tanzania (Mkonge House) lililoko Jijini Tanga ambalo lilikuwa ni moja ya mali zilizorudishwa na Serikali kwa wananchi na wakulima wa mkonge nchini.
Katika ziara hiyo Waziri Mkuu amesema kuwa, Tanzania ni moja ya nchi ambayo ilikuwa mzalishaji mzuri wa zao hilo katika kipindi cha miaka 60 iliyopita ambapo ilikuwa inazalisha tani zaidi ya 235,000 ikiwa ni nchi ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi akizungumza na wakuu Idara katika wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi alipokutana nao leo alipokaribishwa kwa mara ya kwanza katika wizara  hiyo, tangu achaguliwe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa wizara, na kuwaagiza wakuu wa idara katika wizara hiyo kutoa taaarifa za idara zao ifikapo jumatatu ya wiki ijayo.Naibu Waziri wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

 

11 years ago

Michuzi

VIKUNDI 6 VYAKABIDHIWA MASHINE ZA KUKAMUA ASALI

 Katibu wa  Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Kanda ya Kitapilimwa (MJUMIKK), Samson Fuko akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi Jesca Msambatavangu wakati wa hafla ya kukabidhiana mashine za kukamua asali na mizinga ya nyuki pamoja na mavazi maalum ya uvunaji asali   iliyofanyika katika kijiji cha Kinywang'anga hivi karibuni.  Mgeni rasmi Jesca Msambatavangu mwenye kashda ya Tanzania shingoni akiwa na baadhi wa wavunaji wa asali kabla ya kwenda kuvuna asali na baadaye katika hafla ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti mashine ya kuchakata katani wakamilika

>Kituo cha Teknolojia ya Mitambo inayojiendesha (TATC), kinachomilikiwa na Shirika la Nyumbu lililo chini ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania kimekamilisha utafiti wake wa kutengeneza mashine ya kuchakata katani.

 

11 years ago

Michuzi

wanakijiji wa babati wapatiwa mashine za kukamua ufuta

 Baadhi ya wakulima wa vikundi vya Msange na Changamkeni wa Kijiji cha Vilima Vitatu, Kata ya Nkaiti, Tarafa ya Mbugwe, Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara, wakijaribu mashine yao ya kukamulia ufuta baada ya kukabidhiwa jana na Ofisa Masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, ambapo shirika hilo liligawa mashine 10 kwenye vikundi 18 vya wakulima wa Tarafa hiyo. Wakulima wa vikundi vya Mkombozi na Shamabo wa Kijiji cha Shaurimoyo, Kata ya Nkaiti Tarafa ya Mbugwe, Wilaya ya Babati,...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wanunua mashine za kupakilia miwa


Na Igamba Libonge, Kilombero
CHAMA cha Wakulima wa Miwa cha Msolwa Ujamaa (MUCGA), wilayani Kilombero kimenunua mashine mbili za kupakilia miwa zenye thamani ya sh. milioni 264.8.
Chama hicho pia  kwa mwaka huu kinatarajia kununua magari sita yenye thamani ya sh. milioni 400 kwa ajili ya kusombea miwa ya wanachama na kujenga ofisi mpya itakayowagharimu sh. milioni 250.
Hayo yamesemwa juzi na Mwenyekiti wa MUCGA, Sebastian Sangilindege, alipokuwa akisoma taarifa ya chama katika mkutano mkuu....

 

5 years ago

Michuzi

BASHUNGWA AWAPONGEZA MUHIMBILI KWA KUTENGENEZA VAZI MAALUMU LA WAUGUZI.

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ameupongeza uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) za wauguzi ambayo yanasaidia wahudumu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona.

“Nawapongeza hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) ya wauguzi Mungu awabariki na kuwalinda wauguzi wetu”.

Aidha, amevipongeza viwanda vyote nchini kwa kuendelea kuhakikisha vinatoa mchango mkubwa kwa kipindi hiki cha kupambana na ugojwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji hatma zao la mkonge

MBUNGE wa Korogwe Mjini, Yusufu Nassir (CCM), ameitaka serikali ieleze ni hatua gani zimechukuliwa juu ya kauli iliyotolewa kuhusu hatma ya zao la mkonge na wafanyakazi wa mashamba kuhusu mafao...

 

11 years ago

Michuzi

WAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA

Ofisa Masoko wa Shirika la Farm Africa,Rahel Pazzia (kushoto) akikabidhi mashine ya kukamua ufuta kwa wana kikundi wa wakulima wa ufuta wa kikundi cha Faraja na Chemchem kwenye Kijiji cha Vilima Vitatu, Wilaya ni Babati Mkoani Manyara jana. Wanakikundi wa Sayuni na Mti wa maziwa, ambao ni wakulima wa zao la ufuta wa Kijiji cha Ngolley Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakiwa na mashine yao ya kukamua ufuta baada ya kukabidhiwa na Ofisa Masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani