WAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
Ofisa Masoko wa Shirika la Farm Africa,Rahel Pazzia (kushoto) akikabidhi mashine ya kukamua ufuta kwa wana kikundi wa wakulima wa ufuta wa kikundi cha Faraja na Chemchem kwenye Kijiji cha Vilima Vitatu, Wilaya ni Babati Mkoani Manyara jana.
Wanakikundi wa Sayuni na Mti wa maziwa, ambao ni wakulima wa zao la ufuta wa Kijiji cha Ngolley Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakiwa na mashine yao ya kukamua ufuta baada ya kukabidhiwa na Ofisa Masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s72-c/unnamed+(4).jpg)
wanakijiji wa babati wapatiwa mashine za kukamua ufuta
![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SRuHYQzZlv4/U2MvnLXZTrI/AAAAAAAFew4/7GQYdbzWQxQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Babati wanufaika kilimo cha ufuta
11 years ago
MichuziSIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Root Capital na Small Foundation ya marekani waliotembelea mradi wa ufuta babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPnUIWS9N1k/UwWjHFggc4I/AAAAAAAFOO4/sDuZQeB2AuI/s1600/unnamed+(43).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1592565865801.jpg)
WAKULIMA WA UFUTA WAASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s640/FB_IMG_1592565865801.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
~ Kuzingatia ubora
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo.
Hayo yamejiri...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqLM_PGioM/U3_CcndDS2I/AAAAAAAFkp0/pv32cv5eJW0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA KUKAMUA MAFUTA YA UFUTA CHA TAKEMOTO, NAGOYA JAPAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqLM_PGioM/U3_CcndDS2I/AAAAAAAFkp0/pv32cv5eJW0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UD0blZa0YH4/U3_CcefkR0I/AAAAAAAFkps/TkXO-VhFhqQ/s1600/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wakulima wa ufuta wapanua mashamba
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.