WAKULIMA WA UFUTA WAASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1592565865801.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
~ Kuzingatia ubora
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo.
Hayo yamejiri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wakulima wa ufuta wapanua mashamba
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s72-c/kuwasili%2Bmtama.jpg)
UKAWA KUWANUFAISHA WAKULIMA WA KOROSHO NA UFUTA MIKOA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s640/kuwasili%2Bmtama.jpg)
Mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Zao la ufuta limeanza kufuta umaskini kwa wakulima vijijini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nq-Bq0UGzew/Xs06TISBecI/AAAAAAALrp0/Ru9FypGHwgMBx6w9gFEYEBHU89x-79iuACLcBGAsYHQ/s72-c/691e059f-77aa-4222-9545-832e5d6f3b51.jpg)
AFISA TARAFA ITISO AWATAKA MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA KUWATAMBUA WAKULIMA WA UFUTA KATIKA MAENEO YAO
AFISA Tarafa wa Tarafa ya Itiso Wilaya ya Chamwino, Remedius Emmanuel amesema serikali ina nia njema ya kuwasaidia wakulima kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kwenye zao la ufuta.
Remedius ameyasema hayo leo katika mkutano wake na wananchi wa Tarafa yake uliolenga kujenga uelewa wa pamoja na kutoa ufafanuzi juu ya azma ya Wakala wa Taifa was Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuweka kituo cha kununulia mahindi katika Tarafa hiyo.
NFRA wameweka kituo hiko kwenye Kijiji cha...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10