Wakulima wa ufuta wapanua mashamba
Wakulima wa ufuta kwenye kata tano za Tarafa ya Mbugwe, wilayani Babati, mkoani Manyara, wanatarajia kunufaika na kilimo hicho msimu huu baada ya kulima na kupanda mbegu kwenye ekari 5,625 za mashamba yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1592565865801.jpg)
WAKULIMA WA UFUTA WAASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s640/FB_IMG_1592565865801.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
~ Kuzingatia ubora
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo.
Hayo yamejiri...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta
Chama cha Kuuza na Kununua Mazao cha Umoja, kilichopo wilayani Liwale, Mkoa wa Lindi kimeanza kutekeleza mradi wa kugawa mbegu za alizeti na ufuta kwa wakulima zaidi ya 700 zenye thamani ya Sh6 milioni.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
“Kabla ya kujishughulisha na kilimo cha ufuta, nilikuwa na hali ngumu kiuchumi, nilikuwa nalima karanga na pamba, ila sasa nalima ufuta na nimejenga nyumba bora ya kisasa, nafuga ng’ombe, kuku na kusomesha watoto.â€
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s72-c/kuwasili%2Bmtama.jpg)
UKAWA KUWANUFAISHA WAKULIMA WA KOROSHO NA UFUTA MIKOA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s640/kuwasili%2Bmtama.jpg)
Mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Zao la ufuta limeanza kufuta umaskini kwa wakulima vijijini
Nimeingia katika Kijiji cha Erri, Tarafa ya Mbugwe Wilaya ya Babati, mkoani Manyara. Ni eneo ambalo uchumi wa wakazi wengi wanategemea kilimo.
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Wakulima wa miwa kupewa mashamba
Ofisi ya Rais kupitia Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (Mkurabita), imewataka wakulima wa miwa katika Wilaya za Kilosa na Kilombero kujitokeza katika zoezi la urasimishaji mashamba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10