UKAWA KUWANUFAISHA WAKULIMA WA KOROSHO NA UFUTA MIKOA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s72-c/kuwasili%2Bmtama.jpg)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwasili katika jimbo la Mtama katika mkutano wa kampeni uliofanyika mkoani Lindi ambapo katika hoyuba yake aliwaambia wananchi wa mkoa wa Lindi kuwa endapo serikali ya Ukawa itaingia madarakani itaboresha bei ya ufuta na korosho ili kuwanufaisha wakulima wa zao hilo. (Picha na Francis Dande)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Mbunge wa jimbo la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Mtwara waiacha Korosho, wafuata bei nono ya ufuta
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Mafunzo, mikopo ya NMB kuwanufaisha wakulima
KILIMO ni muhimu katika kuchangia ukuaji wa uchumi nchini. Mchango wa sekta hii katika kuongeza kasi ya ukuaji wa pato la taifa ni mkubwa kuanzia kwenye mazao. Lakini kwa kipindi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1592565865801.jpg)
WAKULIMA WA UFUTA WAASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s640/FB_IMG_1592565865801.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
~ Kuzingatia ubora
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo.
Hayo yamejiri...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wakulima wa ufuta wapanua mashamba
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Pembejeo zakwamisha wakulima wa korosho
Na Florence Sanawa, Mtwara
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, imetoa siku 10 kwa mfuko wa wakfu wa kuendeleza zao la korosho kuhakikisha kuwa pembejeo zinawafikia wakulima ili waweze kuwahi kupulizia dawa hizo msimu huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara, Shaibu Akwilombe, alisema usambazaji wa pembejeo hizo umemtia mashaka kutokana na wilaya tatu za Masasi, Mtwara Halmashauri na Tandahimba kukosa pembejeo hizo kwa wakati...
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10