Mtwara waiacha Korosho, wafuata bei nono ya ufuta
Limekuwa ni jambo la kawaida sasa kwamba kati ya Novemba na Mei, mamia ya wakulima katika Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara huyaacha makazi yao na kwenda kuishi mkoani Lindi kwa ajili kuendesha kilimo cha ufuta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Stakabadhi ghalani yapaisha bei ya korosho Mtwara
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s72-c/kuwasili%2Bmtama.jpg)
UKAWA KUWANUFAISHA WAKULIMA WA KOROSHO NA UFUTA MIKOA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-36_3Mt8bVJc/Vedm5szUK1I/AAAAAAABf_w/aXWmCw9AHII/s640/kuwasili%2Bmtama.jpg)
Mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Sababu za uzalishaji korosho kuporomoka mkoani Mtwara
10 years ago
VijimamboVIWANDA VITATU VYA KOROSHO KUJENGWA WILAYA ZA MTWARA, TUNDURU NA MKURANGA
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
10 years ago
MichuziMFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200617-WA0067.jpg)
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200617-WA0067.jpg)
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s72-c/_MG_1288.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI MKOANI MTWARA,AHIDI KUSHUSHA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s640/_MG_1288.jpg)
Dkt John Magufuli amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu mwaka huu ,Serikali yake itashusha bei ya vifaa vya ujenzi hasa bati na saruji,amesema kuwa serikali yake inataka kurahisisha maisha ya watanzania wote na hivyo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10