Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

 Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMKOA wa Pwani ,umefanya mnada wa kwanza wa zao la kibiashara la ufuta ,na kufanikiwa kuu tani 1,231 kati ya tani 3,118 zilizokwenda sokoni kwa bei ya juu ya sh.2,172 kwa kilo moja.
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)

Rapper na mtangazaji wa kituo cha EFM, Baghdad amepunguza takriban nusu ya uzito wake. Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80! Baghdad enzi akiwa mnene Baghdad alivyo sasa “Yaweza kukuchukua muda kuelewa ka ukielewa ukasindwa kuamini haswa utakapostaajabu kuona picha mbili za mtu mmoja. Nilikuwa na kilo 150 now 80, size […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wairani kortini kwa dawa za kulevya kilo 41

Raia 12 wa Iran wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakituhumiwa kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya Heroin Hydrochloride zenye thamani ya zaidi ya Sh2 bilioni.

 

11 years ago

Michuzi

SALAMU ZA EID KUTOKA KWA PAPAAA HASSANI KANIKI MUTU YA KILO YA TRANSHPOO

Nikiikala hapa ku Daresalama ninawaombea wato nyote sikukulu nyema yenye furaha na upendo. Hivi sasa nalikuaga kutayarishaga singo yangu mupya kwa ajiri ya Iddi hii, lakini produza akasemaga ana makazi bwerere ya kina Dayamond na Omi Dimpoz hivyo singo yangu itaitokaga kunako mwezi wa kenda. Haina neno lakini Iddi jema ku wato nyote.

 

5 years ago

CCM Blog

LAIZER AWA BILIONEA KWA KUIUZIA BENKI KUU KILO 14 ZA TANZANITE ALIYOCHIMBA MERERANI

Mchimbaji madini eneo la Mererani Laizer Kuryani, amepata mawe mawili ya Tanzanite yenye uzito mkubwa ,moja lina kilo 9.27 na jingine kilo 5.8 , ambapo serikali kupitia Benki Kuu, imeyanunua mawe hayo, kwa gharama ya Bilioni 7.8 . Kuryani ametambuliwa rasmi kama Bilionea

 

11 years ago

Michuzi

News alert: watu 12 raia wa iran na pakistani kizimbani kwa kukutwa na 'sembe' kilo 200.5 bahari kuu

Watu 12 rais wa Iran na Pakistani wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo, wakikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na kuingiza nchini kilo 200.5 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya Sh. bilioni 9.022.   Washtakiwa hao ni, Kepteni Ayoub Mohamed raia wa Irani, Wavuvi, Buksh Mohamed raia wa Pakistani, wa Irani Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Rahim Baksh wa Pakistani, wa Iran Khalid Ally na Abdul Somad.  Wengine ni raia wa Pakistani Abdul Bakashi,...

 

5 years ago

Michuzi

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI UNAKWENDA KUMNUFAISHA MKULIMA WA UFUTA -RC NDIKILO

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKOA wa Pwani, umekemea wakulima wa ufuta waliofanya udanganyifu  msimu wa ununuzi uliopita kwa kuchanganya ufuta na mchanga, kwani umesababisha doa kwenye soko hivyo kwasasa mfumo utakaotumika ni wa stakabadhi ghalani ,ambao utadhibiti udanganyifu na kuinua pato la mkulima.
Aidha minada ya ununuzi wa ufuta mwaka huu yatafanyika kupitia mfumo huo na kwa njia ya kielektroniki kupitia soko la bidhaa Tanzania (TMX).
Akifungua kikao cha kujadili maandalizi ya msimu wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kilo 10 ya vilipuzi zilitumika Tunisia

Ukanda wenye kilo kumi ya vilipuzi ndio uliotumika katika shambulizi dhidi ya walinzi wa rais nchini Tunisia takriban watu 12 walikufa

 

11 years ago

Mwananchi

Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30

>Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya mirungi ndani ya viroba 30 yenye uzito wa kilo 30.

 

9 years ago

GPL

AMANDA APUNGUA KILO 11 MWILINI

Mwandishi wetu MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikondesha makusudi na kufanikiwa kupunguza kilo 11 mwilini. Akizungumza na mwanahabari wetu, Amanda alisema baada ya kuona mwili unazidi kunenepa na ‘ubonge nyanya’ unamnyima uhuru, aliamua kutafuta ‘gym’ mitaa ya nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar ambayo ilimsaidia kufanya mazoezi pamoja na vyakula maalum ambavyo vilichangia kwa kiasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani