LAIZER AWA BILIONEA KWA KUIUZIA BENKI KUU KILO 14 ZA TANZANITE ALIYOCHIMBA MERERANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-GEJX1Gu_hJs/XvMb1pFpuAI/AAAAAAABMkk/Y4Bx_Dvf3BgF_ol6KbGLhL8oLrOvnTZtQCLcBGAsYHQ/s72-c/TANZANITE.jpeg)
Mchimbaji madini eneo la Mererani Laizer Kuryani, amepata mawe mawili ya Tanzanite yenye uzito mkubwa ,moja lina kilo 9.27 na jingine kilo 5.8 , ambapo serikali kupitia Benki Kuu, imeyanunua mawe hayo, kwa gharama ya Bilioni 7.8 . Kuryani ametambuliwa rasmi kama Bilionea
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Saniniu Laizer atambulika kuwa bilionea baada ya kupata mawe ya Tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200617-WA0067.jpg)
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200617-WA0067.jpg)
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
11 years ago
Michuzi07 Feb
News alert: watu 12 raia wa iran na pakistani kizimbani kwa kukutwa na 'sembe' kilo 200.5 bahari kuu
5 years ago
Michuzi24 Jun
MCHIMBAJI MDOGO WA MADINI YA TANZANITE KUTAMBULIWA RASMI KUWA BILIONEA BAADA YA KUPATA MAWE MAWILI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7.8
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/WhatsApp-Image-2020-06-24-at-10.41.08.jpeg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PHOTO-2020-06-24-09-40-50.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo Wizara inamtabua Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Bw. Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8. Katibu Mkuu amesema kuwa mchimbaji...
10 years ago
MichuziGavana wa Benki Kuu ya Tanzania awasilisha mada kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje
9 years ago
MichuziMFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)
9 years ago
VijimamboBENKI KUU YA TANZANIA YAANZISHA MFUMO MPYA WA MALIPO KWA MASAA 24 UTAJULIKANA KAMA TISS.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uIzOTStilZc/XqAzgmESd2I/AAAAAAALnz4/6xcVW2gwQQ0UTIRps2pRjRrOL1PHRX15ACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KUHUSU HUDUMA KWA WATEJA WA BENKI KUU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-uIzOTStilZc/XqAzgmESd2I/AAAAAAALnz4/6xcVW2gwQQ0UTIRps2pRjRrOL1PHRX15ACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Katika kuepuka msongamano, Benki Kuu...