Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)

Rapper na mtangazaji wa kituo cha EFM, Baghdad amepunguza takriban nusu ya uzito wake. Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80! Baghdad enzi akiwa mnene Baghdad alivyo sasa “Yaweza kukuchukua muda kuelewa ka ukielewa ukasindwa kuamini haswa utakapostaajabu kuona picha mbili za mtu mmoja. Nilikuwa na kilo 150 now 80, size […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015

Mapema wiki hii, mwanasanyansi wa kimataifa Mtanzania, mwanamama Dokta Mwelecele (Mwele) Malecela, alitangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania kwa kuomba ridhaa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi CCM. Dokta Mwele ambaye hadi wakati anatangaza uamuzi huo ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), ana historia ya kipekee ambayo nilibahatika kuifahamu kupitia chapisho moja lililopo katika blogu hii. Hata hivyo, chapisho hilo ambalo lilisomwa na maelfu ya watu,...

 

5 years ago

Michuzi

KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

 Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMKOA wa Pwani ,umefanya mnada wa kwanza wa zao la kibiashara la ufuta ,na kufanikiwa kuu tani 1,231 kati ya tani 3,118 zilizokwenda sokoni kwa bei ya juu ya sh.2,172 kwa kilo moja.
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...

 

11 years ago

Michuzi

SALAMU ZA EID KUTOKA KWA PAPAAA HASSANI KANIKI MUTU YA KILO YA TRANSHPOO

Nikiikala hapa ku Daresalama ninawaombea wato nyote sikukulu nyema yenye furaha na upendo. Hivi sasa nalikuaga kutayarishaga singo yangu mupya kwa ajiri ya Iddi hii, lakini produza akasemaga ana makazi bwerere ya kina Dayamond na Omi Dimpoz hivyo singo yangu itaitokaga kunako mwezi wa kenda. Haina neno lakini Iddi jema ku wato nyote.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtazamo wao ni kuwa miamba iligongana kwa pamoja na kuunda miamba mikubwa hadi kuwa sayari

Matokeo mapya yalichapishwa kwenye jarida la kisayansi limesema kuwa uundwaji huu ulikuwa wa utulivu , miamba ikijikusanya pamoja

 

9 years ago

BBCSwahili

Kilo 10 ya vilipuzi zilitumika Tunisia

Ukanda wenye kilo kumi ya vilipuzi ndio uliotumika katika shambulizi dhidi ya walinzi wa rais nchini Tunisia takriban watu 12 walikufa

 

9 years ago

GPL

AMANDA APUNGUA KILO 11 MWILINI

Mwandishi wetu MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikondesha makusudi na kufanikiwa kupunguza kilo 11 mwilini. Akizungumza na mwanahabari wetu, Amanda alisema baada ya kuona mwili unazidi kunenepa na ‘ubonge nyanya’ unamnyima uhuru, aliamua kutafuta ‘gym’ mitaa ya nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar ambayo ilimsaidia kufanya mazoezi pamoja na vyakula maalum ambavyo vilichangia kwa kiasi...

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu wanaswa na kilo 8 za ‘unga’

Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimewakamata watu watatu katika matukio tofauti wakituhumiwa kukutwa na kilo 8.6 za dawa za kulevya zilizowekwa kwenye mabegi la nguo.

 

11 years ago

Habarileo

Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA

DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30

>Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya mirungi ndani ya viroba 30 yenye uzito wa kilo 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani