Kilo 10 ya vilipuzi zilitumika Tunisia
Ukanda wenye kilo kumi ya vilipuzi ndio uliotumika katika shambulizi dhidi ya walinzi wa rais nchini Tunisia takriban watu 12 walikufa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200617-WA0067.jpg)
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200617-WA0067.jpg)
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Polisi wanasa vilipuzi Uganda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R1uy_Au85c8/XsAtrr3rruI/AAAAAAALqgo/IxD3XJkodgwQOrDYRycYLRLy4eT6MGSzwCLcBGAsYHQ/s72-c/KARIA%2B2.jpg)
KARIA: FEDHA ZILIZOTOLEWA NA RAIS MAGUFULI ZILITUMIKA KWENYE MAANDALIZI YA AFCON (U-17)
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV
Rais wa Shirikisho la Kandanda nchini (TFF), Wallace Karia amefafanua kuwa fedha takriban Bilioni 1 za Kitanzania zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli zilitumika katika maandalizi ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana (AFCON U-17) zilizofanyika hapa nchini April, 2019.
Kupitia Kipindi cha Jaramba kinachorusha na Chaneli ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1), Rais Karia amethibitisha ni kweli walipewa fedha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-efJ6Vw2RzgyA0E1pwC*TE9R6kWYeRxy*rr62r4jSg58wKGoGgZreAdLddkd1KgCKDzSriXw0ZxvpaE3Mb3-0w3/Amandaz.jpg?width=650)
AMANDA APUNGUA KILO 11 MWILINI
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watatu wanaswa na kilo 8 za ‘unga’
11 years ago
Habarileo09 Jan
Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA
DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30
11 years ago
Habarileo05 Feb
Polisi wakamata kilo 201 za Heroin
RAIA 12 kutoka katika nchi mbili tofauti, wanashikiliwa Polisi kwa kukutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilogramu 201, kupitia baharini.