KARIA: FEDHA ZILIZOTOLEWA NA RAIS MAGUFULI ZILITUMIKA KWENYE MAANDALIZI YA AFCON (U-17)
![](https://1.bp.blogspot.com/-R1uy_Au85c8/XsAtrr3rruI/AAAAAAALqgo/IxD3XJkodgwQOrDYRycYLRLy4eT6MGSzwCLcBGAsYHQ/s72-c/KARIA%2B2.jpg)
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV
Rais wa Shirikisho la Kandanda nchini (TFF), Wallace Karia amefafanua kuwa fedha takriban Bilioni 1 za Kitanzania zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli zilitumika katika maandalizi ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana (AFCON U-17) zilizofanyika hapa nchini April, 2019.
Kupitia Kipindi cha Jaramba kinachorusha na Chaneli ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1), Rais Karia amethibitisha ni kweli walipewa fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWAAMURU VIONGOZI WA TFF KUREJESHA FEDHA ALIZOZITOA RAIS MAGUFULI KUSAIDIA MAANDALIZI MICHUANO YA VIJANA AFCON
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
9 years ago
MichuziMAANDALIZI YA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MPYA DK. MAGUFULI YAPAMBA MOTO JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--lN0Ls9kkRs/XtE1SY4nQHI/AAAAAAALr_c/dCpe6xpenA0u9I1Z2bI7YM6GZftTsGIyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-23.jpg)
Rais Magufuli akagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa Ofisi za Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Mei, 2020 amekagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma zitakazofanyika kesho tarehe 30 Mei, 2020.
Jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi hizo litawekwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
MAKADIRIO YA AHADI 10 KUBWA ZILIZOTOLEWA NA MAGUFULI NA LOWASSA KWA WAPIGA KURA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JE-15Oct2015.png)
Kadiri inavyoonekana, ahadi hizo zikitekelezwa kwa asilimia 100, zitafanya muujiza kwa kuibadili Tanzania kutoka katika hali duni ya upatikanaji wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpeg)
KAMATI KUU YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI KWA UMAHIRI ALIOTUMIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA, YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s400/5.jpeg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempongeza Rais Dk. John Magufuli kwa Uongozi imara, msimamo thabiti na usioyumba katika kipindi chote cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19.
Pongezi hizo zimetolewa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, katika kikao chake kilichofanyika jana katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.
Pamoja na pongezi hizo Kamati...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vlUUohP1XtA/default.jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATAKA MAKONDA ARUDISHE FEDHA ZA TASAF
Rais Magufuli ameyasema hayo hii leo tarehe 17, Febuari, 2020 wakati akizindua kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya mpango wa Maendelo wa kunusuru Kaya masikini wa TASAF. Hafla imefanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...