Polisi wakamata kilo 201 za Heroin
RAIA 12 kutoka katika nchi mbili tofauti, wanashikiliwa Polisi kwa kukutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilogramu 201, kupitia baharini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Polisi wakamata kilo 200 za heroini Dar
9 years ago
Habarileo14 Nov
Polisi Tanga wakamata kilo 462 za mirungi
JESHI la Polisi mkoa wa Tanga linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusafirisha kilo 462 za mirungi. Watuhumiwa hao ni dereva wa lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 860 BYQ, mkazi wa Kibaha Picha ya Ndege Alois na mkazi wa Mbauda mkoani Arusha, Rashid Juma (22).
11 years ago
GPLZAIDI YA KILO 200 ZA MADAWA YA KULEVYA AINA YA HEROIN ZAKAMATWA BAHARI YA HINDI
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Polisi wakamata majangili sugu 40
10 years ago
Habarileo12 Mar
Polisi wakamata wapiga ramli 225
JESHI la Polisi nchini limesema limewakamata wapiga ramli 225 katika Mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga Katavi, Rukwa na Kagera.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Polisi Dar waua, wakamata majambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Polisi Tabora wakamata bunduki 9 za kienyeji
JESHI la Polisi mkoani Tabora limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama katika msimu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka na kufanikiwa kukamata bunduki tisa za kienyeji aina ya gobori wilayani Nzega.