Polisi wakamata wapiga ramli 225
JESHI la Polisi nchini limesema limewakamata wapiga ramli 225 katika Mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga Katavi, Rukwa na Kagera.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM14 Jan
Wapiga ramli wapigwa marufuku
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe alisema kutokana na ongezeko la matukio ya utekaji wa albino nchini, serikali imeamua kuanza kuwadhibiti wapiga ramli, akisema inaaminika ndio chanzo cha matukio hayo.
Aidha, Jeshi la Polisi na Chama cha Albino Tanzania (TAS) kimeandaa timu itakayofanya...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Wapiga ramli kupigwa marufuku TZ
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RdxJwqk8MwQ/Xq_yqj6NLhI/AAAAAAALpAo/sZd89w4GiE8YgJ2mlD0Bw0gWsPZguO0-QCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
WATU 13 WASHIRIKILIWA NA JESHI LA POLISI, IKIWEPO RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-RdxJwqk8MwQ/Xq_yqj6NLhI/AAAAAAALpAo/sZd89w4GiE8YgJ2mlD0Bw0gWsPZguO0-QCLcBGAsYHQ/s640/download.png)
TUKIO LA KWANZA-; KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YALIYOHUSISHA RAMLI CHONGANISHI.
TAREHE 02.05.2020 MAJIRA YA 02:00HRS USIKU KATIKA KITONGOJI CHA IMALANGE, KIJIJI CHA MWANANGWA, WILAYA YA MISUNGWI, MKOA WA MWANZA, ALIKAMATWA MTUHUMIWA WA KOSA LA MAUAJI AITWAYE RODHA...
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Polisi wakamata majangili sugu 40
11 years ago
Habarileo05 Feb
Polisi wakamata kilo 201 za Heroin
RAIA 12 kutoka katika nchi mbili tofauti, wanashikiliwa Polisi kwa kukutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilogramu 201, kupitia baharini.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wakamata mabomu ya kivita Z’bar
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Polisi Dar waua, wakamata majambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Polisi wakamata silaha zilizoporwa Geita
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, amesema usiku wa kuamkia jana wamefanikiwa kumnasa mtuhumiwa mmoja aliyehusika katika tukio la kushambuliwa kituo cha Polisi Bukombe Geita, juzi. Majambazi...