Wapiga ramli wapigwa marufuku
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe alisema kutokana na ongezeko la matukio ya utekaji wa albino nchini, serikali imeamua kuanza kuwadhibiti wapiga ramli, akisema inaaminika ndio chanzo cha matukio hayo.
Aidha, Jeshi la Polisi na Chama cha Albino Tanzania (TAS) kimeandaa timu itakayofanya...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Wapiga ramli kupigwa marufuku TZ
Serikali ya Tanzania imeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ukatili wanaofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi Albino.
10 years ago
Habarileo12 Mar
Polisi wakamata wapiga ramli 225
JESHI la Polisi nchini limesema limewakamata wapiga ramli 225 katika Mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga Katavi, Rukwa na Kagera.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_104719.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_104719.jpg)
DODOMA, Tanzania
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qX3G3XvlzQc/XuXB0twucgI/AAAAAAALtwM/Owg8O4_iluAYmXHXSuTuqJMlV74p8rl8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B9.09.55%2BAM.jpeg)
DKT. MOLLEL APIGA MARUFUKU RAMLI CHONGANISHI.
Na WAMJW- DOM
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu na miongozo ya Serikali.
Dkt. Mollel ameyasema hayo leo, wakati wa hafla fupi ya wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa utoaji huduma za tiba asili iliyohudhuriwa na baadhi ya wawakilishi kutoka Wizara ya Afya na baadhi ya wanafunzi wa taaluma ya uuguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s72-c/DSC_0296.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s1600/DSC_0296.jpg)
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Wabaguzi wa Chelsea wapigwa marufuku
Mashabiki wanne wa kilabu ya Chelsea walioshtumiwa kwa kukataa kumrusu mtu mmoja mweusi kuingia katika treni ya Paris Metro wamepigwa marufuku kuhudhuria mechi mechi za soka kwa takriban miaka mitano.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wanariadha wakenya wapigwa marufuku
Wanariadha wawili wa Kenya Viola Chelangat Kimetto na Joyce Jemutai Kiplimo, wamepataikana na hatia ya kutumia dawa za kusisimua misuli na kupigwa marufuku kwa miaka 2
10 years ago
Habarileo25 Feb
Uvuvi wa kasa wapigwa marufuku
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema ni marufuku kwa wavuvi kuvua samaki aina ya kasa katika eneo la bahari ya Zanzibar ambapo viumbe hao wapo katika hatari ya kutoweka duniani.
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Wanamitindo wembamba wapigwa marufuku
Bunge la Ufaransa limeidhinisha sheria inayopiga marufuku tabia ya makampuni ya wanamitindo nchini humo kutumia wasichana wembamba
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania