SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_104719.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Godwin Mollel (Kushotoa) akiwa na Mwenyekiti wa wahitimu hao Dk. John Lupimo wakati wa hafla ya wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa utoaji huduma za tiba asili iliyofanyika Jijini Dodoma, jana.
DODOMA, Tanzania
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s72-c/DSC_0296.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s1600/DSC_0296.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qX3G3XvlzQc/XuXB0twucgI/AAAAAAALtwM/Owg8O4_iluAYmXHXSuTuqJMlV74p8rl8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B9.09.55%2BAM.jpeg)
DKT. MOLLEL APIGA MARUFUKU RAMLI CHONGANISHI.
Na WAMJW- DOM
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu na miongozo ya Serikali.
Dkt. Mollel ameyasema hayo leo, wakati wa hafla fupi ya wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa utoaji huduma za tiba asili iliyohudhuriwa na baadhi ya wawakilishi kutoka Wizara ya Afya na baadhi ya wanafunzi wa taaluma ya uuguzi...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Waganga wa tiba mbadala Singida wanaotumia nyara za Serikali kupigia ramli chonganishi watakiwa kuzisalimisha Polisi
![SAM_2029](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2029.jpg)
![SAM_2027](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2027.jpg)
![SAM_2024](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2024.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RdxJwqk8MwQ/Xq_yqj6NLhI/AAAAAAALpAo/sZd89w4GiE8YgJ2mlD0Bw0gWsPZguO0-QCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
WATU 13 WASHIRIKILIWA NA JESHI LA POLISI, IKIWEPO RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-RdxJwqk8MwQ/Xq_yqj6NLhI/AAAAAAALpAo/sZd89w4GiE8YgJ2mlD0Bw0gWsPZguO0-QCLcBGAsYHQ/s640/download.png)
TUKIO LA KWANZA-; KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YALIYOHUSISHA RAMLI CHONGANISHI.
TAREHE 02.05.2020 MAJIRA YA 02:00HRS USIKU KATIKA KITONGOJI CHA IMALANGE, KIJIJI CHA MWANANGWA, WILAYA YA MISUNGWI, MKOA WA MWANZA, ALIKAMATWA MTUHUMIWA WA KOSA LA MAUAJI AITWAYE RODHA...
9 years ago
StarTV29 Dec
Serikali yapiga marufuku uuzaji matunda yaliyokatwa
Serikali imetoa tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu kuendelea kuwa tishio kwa baadhi ya mikoa nchini tangu ugonjwa huo uliporipotiwa Agosti 15 mwaka huu.
Tahadhari hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipozungumza Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema kusambaa kwa ugonjwa wa Kipindupindu nchini kunaendelea kwa kasi tangu iliporipotiwa kwa mara ya kwanza mwaka huu Agosti 15,...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Serikali yapiga marufuku matangazo yanayohusu Tiba asili
![](http://1.bp.blogspot.com/-iqJ-Kq7M9_E/Vny93ECcrxI/AAAAAAAAsfE/GYq5Ag0wppo/s1600/1.jpg)
Taarifa kutoka Wizara ya Afya kuanzia tarehe 24 Desemba 2015 imepiga marufuku matangazo yote yanayohusu tiba asili na tiba mbadala kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Wale wote wenye vibali wanatakiwa kuviwasilisha vibali na matangazo yao kwenye Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala ili vifanyiwe mapitio. Utoaji wa elimu ya afya kwa umma unaofanywa na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jzO88GV301k/U5IpzDA-OmI/AAAAAAAFoIU/3McoCA8P-2M/s72-c/Wachimbaji+wadogo+kijiji+cha+Ngasamo+2.jpg)
Serikali yapiga marufuku ajira za watoto kwenye migodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-jzO88GV301k/U5IpzDA-OmI/AAAAAAAFoIU/3McoCA8P-2M/s1600/Wachimbaji+wadogo+kijiji+cha+Ngasamo+2.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Stephen Masele amekemea vikali tabia ya wamiliki wa migodi kuajiri watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 kwani inarudisha maendeleo ya watoto hao na kwa jamii kwa ujumla inayowategemea
Waziri Masele ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa semina iliyoshirikisha wachimbaji wadogo, madiwani, viongozi wa vijiji, wilaya, madiwani pamoja na viongozi wa vyama vya siasa inayoendelea katika jimbo la Mwibara wilaya...
10 years ago
Habarileo28 Apr
Watano watiwa mbaroni kwa upigaji ramli
WATU watano wa kijiji cha Mheza kilichopo Kata ya Mhinduro wilayani Mkinga wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa wakipiga ramli za uchonganishi zilizolenga kufichua wachawi.
9 years ago
Michuzi21 Aug