DKT. MOLLEL APIGA MARUFUKU RAMLI CHONGANISHI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qX3G3XvlzQc/XuXB0twucgI/AAAAAAALtwM/Owg8O4_iluAYmXHXSuTuqJMlV74p8rl8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B9.09.55%2BAM.jpeg)
Na WAMJW- DOM
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu na miongozo ya Serikali.
Dkt. Mollel ameyasema hayo leo, wakati wa hafla fupi ya wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa utoaji huduma za tiba asili iliyohudhuriwa na baadhi ya wawakilishi kutoka Wizara ya Afya na baadhi ya wanafunzi wa taaluma ya uuguzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_104719.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_104719.jpg)
DODOMA, Tanzania
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RdxJwqk8MwQ/Xq_yqj6NLhI/AAAAAAALpAo/sZd89w4GiE8YgJ2mlD0Bw0gWsPZguO0-QCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
WATU 13 WASHIRIKILIWA NA JESHI LA POLISI, IKIWEPO RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-RdxJwqk8MwQ/Xq_yqj6NLhI/AAAAAAALpAo/sZd89w4GiE8YgJ2mlD0Bw0gWsPZguO0-QCLcBGAsYHQ/s640/download.png)
TUKIO LA KWANZA-; KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YALIYOHUSISHA RAMLI CHONGANISHI.
TAREHE 02.05.2020 MAJIRA YA 02:00HRS USIKU KATIKA KITONGOJI CHA IMALANGE, KIJIJI CHA MWANANGWA, WILAYA YA MISUNGWI, MKOA WA MWANZA, ALIKAMATWA MTUHUMIWA WA KOSA LA MAUAJI AITWAYE RODHA...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Waganga wa tiba mbadala Singida wanaotumia nyara za Serikali kupigia ramli chonganishi watakiwa kuzisalimisha Polisi
![SAM_2029](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2029.jpg)
![SAM_2027](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2027.jpg)
![SAM_2024](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2024.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ei3uEfvdBq4/XkeVpMPtBTI/AAAAAAALdeg/jMmDXnZNJ2gKQwvhjkmcGmMO-805MW9sQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c3ab7b6-520f-40ab-87b1-9681a00033ce-1024x683.jpg)
DKT NDUGULILE APIGA MARUFUKU MAOMBI YA DAWA KWA NJIA YA KARATASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ei3uEfvdBq4/XkeVpMPtBTI/AAAAAAALdeg/jMmDXnZNJ2gKQwvhjkmcGmMO-805MW9sQCLcBGAsYHQ/s640/5c3ab7b6-520f-40ab-87b1-9681a00033ce-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (kulia) akikagua nyaraka ya dawa iliyoandikwa kwa karatasi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro ambapo amepiga marufuku na kuwataka kujaza maombi ya dawa kupitia fomu maalum.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/270217d5-ed6d-48df-8cfc-892443f157eb-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiakikagua nyaraka ambayo imeandikwa kwa usahihi kwenye fomu maalum ya maombi ya dawa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa...
10 years ago
CloudsFM14 Jan
Wapiga ramli wapigwa marufuku
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe alisema kutokana na ongezeko la matukio ya utekaji wa albino nchini, serikali imeamua kuanza kuwadhibiti wapiga ramli, akisema inaaminika ndio chanzo cha matukio hayo.
Aidha, Jeshi la Polisi na Chama cha Albino Tanzania (TAS) kimeandaa timu itakayofanya...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Wapiga ramli kupigwa marufuku TZ
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s72-c/DSC_0296.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s1600/DSC_0296.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Aug
IGP apiga marufuku maandamano
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KAIMU Mkuu wa Polisi, Abdulrahman Kaniki, amepiga marufuku maandamano nchi nzima hadi Uchaguzi Mkuu upite, akisema sababu za kiusalama zimewasukuma kufanya hivyo.
Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku nne tangu vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kufanya maandamano makubwa ya kumsindikiza mgombea wao wa urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuchukua fomu ya utezi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Wakati Kaniki akisema hayo jana saa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
IGP apiga marufuku Kigodoro, Kangamoko
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP) Ernest Mangu, amepiga marufuku vikundi vya ngoma vya Kigodoro, Kangamoko na vingine vinavyokiuka maadili ya kitanzania. Kutokana na hatua hiyo, IGP Mangu amewaagiza...