IGP apiga marufuku Kigodoro, Kangamoko
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP) Ernest Mangu, amepiga marufuku vikundi vya ngoma vya Kigodoro, Kangamoko na vingine vinavyokiuka maadili ya kitanzania. Kutokana na hatua hiyo, IGP Mangu amewaagiza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 May
Kigodoro, kangamoko marufuku
NGOMA za kigodoro, kangamoko na nyingine ambazo huchezwa usiku katika maeneo kadhaa jijini Dar es Salaam, zimepigwa marufuku na polisi kwa kile kilichoelezwa zimegeuzwa kuwa sehemu ya uhalifu.
9 years ago
Mtanzania14 Aug
IGP apiga marufuku maandamano
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KAIMU Mkuu wa Polisi, Abdulrahman Kaniki, amepiga marufuku maandamano nchi nzima hadi Uchaguzi Mkuu upite, akisema sababu za kiusalama zimewasukuma kufanya hivyo.
Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku nne tangu vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kufanya maandamano makubwa ya kumsindikiza mgombea wao wa urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuchukua fomu ya utezi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Wakati Kaniki akisema hayo jana saa...
9 years ago
Mwananchi22 Oct
IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura
10 years ago
Habarileo08 Jul
DC apiga marufuku vijana kukaa vijiweni
MKUU wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Chande Nalicho amepiga marufuku tabia ya baadhi ya watu hasa vijana kutumia muda mwingi kukaa vijiweni kuendekeza mambo ya kisiasa na kuacha kufanya kazi za kujiletea maendeleo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsfvSQAGruC1AtLyqTkgqeP1jc3aTotgkxvBnoI6ZEQvJydB6zc5uB2JL2Ue5Gnw55TFUKzoPUVzbH*UmK84ENU/loga.jpg?width=650)
Loga apiga marufuku chenga za Messi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5PP5UPPnpFw/XpAXEwhG4WI/AAAAAAALmtM/uOSWbOnx2wkpPIYqrMU2O68lDXXaBkqNgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-18-768x432.jpg)
RC SHINYANGA APIGA MARUFUKU WATOTO MINADA YA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-5PP5UPPnpFw/XpAXEwhG4WI/AAAAAAALmtM/uOSWbOnx2wkpPIYqrMU2O68lDXXaBkqNgCLcBGAsYHQ/s640/1-18-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Tellack akiongea na wafanyibiashara wa mnada wa mifugo wa Muhunze ulioko Wilayani Kishapu jana alipofika katika mnada huo kujionea namna bora ya uzingatiaji wa maelekezo ya Serikali kuhusu kujikinga na mlipuko wa ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AAA-1024x768.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Jan
DC Kahama apiga marufuku matumizi ya visima, kulima
MKUU wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya amepiga marufuku wananchi wa kijiji namba tisa kata ya Bulyanhulu wilayani hapa kutumia maji ya visima pamoja na kuendesha shughuli za kilimo.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
RC Arusha apiga marufuku mikusanyiko kushangilia matokeo
10 years ago
Habarileo22 Feb
Pinda apiga marufuku ukarabati maabara za zamani
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepiga marufuku ukarabati wa maabara za zamani za shule za sekondari na kusisitiza kwamba ni lazima zijengwe mpya kama ambavyo Serikali ilielekeza.