Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DKT NDUGULILE APIGA MARUFUKU MAOMBI YA DAWA KWA NJIA YA KARATASI


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (kulia) akikagua nyaraka ya dawa iliyoandikwa kwa karatasi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro ambapo amepiga marufuku na kuwataka kujaza maombi ya dawa kupitia fomu maalum.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiakikagua nyaraka ambayo imeandikwa kwa usahihi kwenye fomu maalum ya maombi ya dawa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA AFYA: MARUFUKU MAOMBI YA DAWA KW NJIA YA KARATASI

  Na Englibert Kayombo, WAMJW – Moshi, Kilimanjaro.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amepiga marufuku kwa watumishi wa afya katika vituo vya kutolea huduma za afya kutumia karatasi kama njia ya kuidhinisha maombi ya dawa.
Dkt. Ndugulile ametoa marufuku hiyo maara baada ya kubaini mianya ya upotevu wa dawa za Serikali katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini alipokuwa ziarani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MOLLEL APIGA MARUFUKU RAMLI CHONGANISHI.


Na WAMJW- DOM

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu na miongozo ya Serikali.

Dkt. Mollel ameyasema hayo leo, wakati wa hafla fupi ya wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa utoaji huduma za tiba asili iliyohudhuriwa na baadhi ya wawakilishi kutoka Wizara ya Afya na baadhi ya wanafunzi wa taaluma ya uuguzi...

 

5 years ago

Michuzi

ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA CORONA KWA WANANCHI – DKT.NDUGULILE




Muonekano wa chumba atakacholazwa mgonjwa wa Corona endapo atatokea, kilichopo katika jengo lililotengwa kwaajili ya wagonjwa hao katika kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma,
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na Wataalamu wa Sekta ya Afya ngazi ya Mkoa katika ofisi za mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akisisitiza jambo wakati akiongea na Wataalamu wa...

 

9 years ago

StarTV

Mkuu wa Mkoa Dodoma apiga marufuku Posho Za Vikao Kwa Watendaji

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku Galawa amepiga marufuku ulipaji wa posho za vikao vya kazi kwa wakuu wa idara na watendaji kutokana na utendaji usioridhisha.Aidha amewataka viongozi hao kukaa mara mbili kwa wiki ofisini, siku zilizobaki zikitumika kugagua kazi zilizofanywa na walio chini yao pamoja na kusikiliza kero za wananchi.

Agizo hilo linatolewa katika kikao cha ufunguzi wa baraza la madiwani wa  halmashauri ya kongwa  Galawa anafikia uamuzi huo kutokana na wilaaya hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

Mfumo mpya wa upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kuzinduliwa hivi karibuni.

Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa umma inatarajia kuzindua mfumo mpya wa utumaji na upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kupitia “Recruitment portal” hivi karibuni baada ya hatua za majaribio ya mfumo huo kuonyesha mafanikio.Sababu za kuanzisha mfumo huu mpya zinalenga kuboresha utendaji kazi wa taasisi katika kufikisha huduma kwa wateja, kuongeza ufanisi katika mchakato wa ajira, Kupunguza muda wa mchakato wa Ajira ili kukidhi mahitaji ya wadau, kuwafikia waombaji wa nafasi...

 

9 years ago

Mtanzania

IGP apiga marufuku maandamano

Abdulrahman Kaniki(D_IGP)Na Asifiwe George, Dar es Salaam

KAIMU Mkuu wa Polisi, Abdulrahman Kaniki, amepiga marufuku maandamano nchi nzima hadi Uchaguzi Mkuu upite, akisema sababu za kiusalama zimewasukuma kufanya hivyo.

Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku nne tangu vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kufanya maandamano makubwa ya kumsindikiza mgombea wao wa urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuchukua fomu ya utezi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Wakati Kaniki akisema hayo jana saa...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA NI SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA -DKT NDUGULILE


Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona.

Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa huo....

 

11 years ago

GPL

Loga apiga marufuku chenga za Messi

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Hans Mloli na Ibrahim Mussa
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amemnyooshea kidole kiungo wake machachari, Ramadhani Singano ‘Messi’ akimtaka kuachana na ‘show game’ na badala yake aangalie anacheza vipi na wenzake kulifikia goli la wapinzani na kufunga mabao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani