NEWZ ALERT : RAIS DKT MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT FAUSTINE NDUGULILE
![](https://1.bp.blogspot.com/-wAK3_c1QKl4/XsAu_T-AjzI/AAAAAAALqg4/7U_3UGOMUrMubTy7lqHkrJNJz9X7XSQAACLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Rais Dkt. Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt. Edward Hoseah
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dkt. Edward Hoseah (pichani) kutokana na kutorishwa na namna taasisi hiyo ilivyokua ikitekeleza wajibu wake katika kukabiliana na rushwa hususani kwenye upotevu wa mapato ya serikali katika bandari ya Dar es salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kufuatia kutenguliwa kwa uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua aliyekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFZzXslIrlo/Xu9s2bLTmMI/AAAAAAALu1Y/fWg4LOBMda0BRyq73Vm3mzdgtkeQVlcGQCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
NEWZ ALERT: RAIS DKT MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA,WOTE KUAPISHWA KESHO IKULU JIJINI DAR ES DALAAM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFZzXslIrlo/Xu9s2bLTmMI/AAAAAAALu1Y/fWg4LOBMda0BRyq73Vm3mzdgtkeQVlcGQCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CcHE5_oYEuI/Xu9s2SBWM4I/AAAAAAALu1U/d5ii_kbhYOsMoqMwCtUVJFuKKhYTWVJcgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B4.55.11%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmahiga.jpg)
NEWZ ALERT: Rais DKT Magufuli atangaza kifo cha Waziri Augustine Mahiga
![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bmahiga.jpg)
Pichani ni aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mbunge) aliyefariki leo tarehe 01 Mei, 2020 Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3MJbvLHupIo/XqvDvmhQ0HI/AAAAAAALouI/6euLP_Yhfpc4uRS5BcyRyw4zlo4LNtFqQCLcBGAsYHQ/s1600/fc75030c-8c78-4d9b-944e-f591b032c434.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile awapongeza wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG)
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT NDUGULILE ATOA UFAFANUZI KUHUSU BARAKOA NA MATUMIZI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s640/Ndugulile.jpeg)
NA DK FAUSTINE NDUGULILE
Kuna clip inazunguka mitandaoni nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini.
2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf6X0pKmBQE/XsAzyJpPiLI/AAAAAAAAngs/uRuiLwsqjOcSub0h4o9lkYu7AazKVXdnQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA NAIBU WAZIRI WA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf6X0pKmBQE/XsAzyJpPiLI/AAAAAAAAngs/uRuiLwsqjOcSub0h4o9lkYu7AazKVXdnQCLcBGAsYHQ/s200/0.jpg)
Na Mwandishi Wetu
CHATO, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Dkt. Godwin Oloyce Mollel ambaye ni Mbunge wa Siha kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.Hayo yamebainishwa muda huu na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu mjini Chato, Gerson Msigwa.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uteuzi wa Dkt. Mollel unaanza leo tarehe 16 Mei, 2020.Dkt. Mollel anachukua nafasi ya Dkt. Faustine Engelbert...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HStS57Z-QdE/XvY3bjj6moI/AAAAAAALvmA/n71c9OyBqZI7e5MOxW-XtndjdDrtq4ExgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-9.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SSgmRNgh8M/Xq2VpeQPNnI/AAAAAAALo2w/3m-85bEUA7EuysoZDOLLBvotNQOsKnyMQCLcBGAsYHQ/s72-c/mwigulu%252Bpic.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2.-scaled.jpg)