Serikali yapiga marufuku uuzaji matunda yaliyokatwa
Serikali imetoa tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu kuendelea kuwa tishio kwa baadhi ya mikoa nchini tangu ugonjwa huo uliporipotiwa Agosti 15 mwaka huu.
Tahadhari hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipozungumza Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema kusambaa kwa ugonjwa wa Kipindupindu nchini kunaendelea kwa kasi tangu iliporipotiwa kwa mara ya kwanza mwaka huu Agosti 15,...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0bmVotg7m7g/Vk2LdGRwQRI/AAAAAAAIGvQ/RA1awx_6R8U/s72-c/MKULIMA.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UUZAJI, UNUNUZI WA KARAFUU KWA ‘VIKOMBE’ KUEPUSHA WIZI NA UKATAJI MIKARAFUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0bmVotg7m7g/Vk2LdGRwQRI/AAAAAAAIGvQ/RA1awx_6R8U/s640/MKULIMA.jpg)
Na Ali MohamedSERIKALI imepiga marufuku uuzaji na ununuzi wa karafuu usio rasmi (vikombe) kuepusha wizi wa karafuu mashambani na ukataji wa mikarafuu unaofanywa na baadhi ya watu kutokana na kuzoeleka kwa biashara hiyo.
Wakizungumza katika nyakati tofauti Wakuu wa Wilaya za Unguja na Pemba wamesema hakuna ruhusa kwa mtu yoyote kuuza au kununua karafuu mbichi au kavu...
9 years ago
StarTV19 Nov
Uuzaji Ardhi Kiholela  Serikali ya Wilaya Kinondoni yapiga marufuku Â
Serikali imepiga marufuku kuuza maeneo katika kata tatu zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kutokana na kukithiri kwa migogoro ya ardhi.
Kata hizo ni Mabwepande, Wazo na Bunju zenye mitaa saba ambayo ni Boko, Mji mpya, Mbopo, Kihonzile, Bunju B, Mabwepande na Nyakasange.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati alipokutana na viongozi wa kamati ya ardhi kwa lengo la kutoa maazimio yao kuhusu utatuzi wa migogoro ya ardhi ndani ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_104719.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_104719.jpg)
DODOMA, Tanzania
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jzO88GV301k/U5IpzDA-OmI/AAAAAAAFoIU/3McoCA8P-2M/s72-c/Wachimbaji+wadogo+kijiji+cha+Ngasamo+2.jpg)
Serikali yapiga marufuku ajira za watoto kwenye migodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-jzO88GV301k/U5IpzDA-OmI/AAAAAAAFoIU/3McoCA8P-2M/s1600/Wachimbaji+wadogo+kijiji+cha+Ngasamo+2.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Stephen Masele amekemea vikali tabia ya wamiliki wa migodi kuajiri watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 kwani inarudisha maendeleo ya watoto hao na kwa jamii kwa ujumla inayowategemea
Waziri Masele ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa semina iliyoshirikisha wachimbaji wadogo, madiwani, viongozi wa vijiji, wilaya, madiwani pamoja na viongozi wa vyama vya siasa inayoendelea katika jimbo la Mwibara wilaya...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Serikali yapiga marufuku matangazo yanayohusu Tiba asili
![](http://1.bp.blogspot.com/-iqJ-Kq7M9_E/Vny93ECcrxI/AAAAAAAAsfE/GYq5Ag0wppo/s1600/1.jpg)
Taarifa kutoka Wizara ya Afya kuanzia tarehe 24 Desemba 2015 imepiga marufuku matangazo yote yanayohusu tiba asili na tiba mbadala kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Wale wote wenye vibali wanatakiwa kuviwasilisha vibali na matangazo yao kwenye Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala ili vifanyiwe mapitio. Utoaji wa elimu ya afya kwa umma unaofanywa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s72-c/DSC_0296.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s1600/DSC_0296.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MWANANCHI KUMSAJILIA LAINI YA SIMU MTU MWINGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s400/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5eo6qWsJaqI/VoUyE-yQfVI/AAAAAAAIPms/8EG6w31XpjQ/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA BARUA PEPE ZA KAWAIDA KATIKA MAWASILIANO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-5eo6qWsJaqI/VoUyE-yQfVI/AAAAAAAIPms/8EG6w31XpjQ/s640/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5nHf4yqEdho/VoUyHMNbzbI/AAAAAAAIPnE/ZKatyaTKuB4/s640/Picha%2Bna%2B5.jpg)