Polisi Tanga wakamata kilo 462 za mirungi
JESHI la Polisi mkoa wa Tanga linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusafirisha kilo 462 za mirungi. Watuhumiwa hao ni dereva wa lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 860 BYQ, mkazi wa Kibaha Picha ya Ndege Alois na mkazi wa Mbauda mkoani Arusha, Rashid Juma (22).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Feb
Polisi wakamata kilo 201 za Heroin
RAIA 12 kutoka katika nchi mbili tofauti, wanashikiliwa Polisi kwa kukutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilogramu 201, kupitia baharini.
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Polisi wakamata kilo 200 za heroini Dar
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Adaiwa kubeba kilo 22 za mirungi JNIA
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Polisi wakamata majangili sugu 40
11 years ago
Habarileo11 Apr
Polisi Z’bar wakamata silaha za kivita
POLISI Zanzibar, wamefanikiwa kukamata silaha mbili za vita na risasi 40 zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu, likiwemo la mauaji ya askari polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Polisi wakamata silaha zilizoporwa Geita
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, amesema usiku wa kuamkia jana wamefanikiwa kumnasa mtuhumiwa mmoja aliyehusika katika tukio la kushambuliwa kituo cha Polisi Bukombe Geita, juzi. Majambazi...