Polisi Z’bar wakamata silaha za kivita
POLISI Zanzibar, wamefanikiwa kukamata silaha mbili za vita na risasi 40 zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu, likiwemo la mauaji ya askari polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wakamata mabomu ya kivita Z’bar
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Majambazi waua polisi, wapora silaha za kivita
WATU sita wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamemuua askari polisi wa Kituo kidogo cha Polisi kilichopo Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani na kuwajeruhi askari mgambo wawili baada ya kuvamia kituo hicho....
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Polisi wakamata silaha zilizoporwa Geita
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, amesema usiku wa kuamkia jana wamefanikiwa kumnasa mtuhumiwa mmoja aliyehusika katika tukio la kushambuliwa kituo cha Polisi Bukombe Geita, juzi. Majambazi...
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Polisi wakamata shotgun nyumbani kwa mwekezaji Z’bar
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Mbaroni kwa silaha ya kivita
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa na bunduki ya kivita aina ya G3, namba FMP 061283B367 ikiwa na risasi zake tisa wakati wakisafirisha...
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Silaha za kivita zauzwa mpakani
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SILAHA-1-001.jpg?width=650)
HOFU YATANDA, SILAHA ZA KIVITA KUKAMATWA
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mwakilishi ataka Zanzibar imiliki silaha za kivita