Polisi wakamata shotgun nyumbani kwa mwekezaji Z’bar
Mwekezaji ambaye ni raia wa Ufaransa (jina tunalihifadhi), anasakwa na polisi kwa madai ya kumiliki bunduki aina ya Shotgun iliyokamatwa nyumbani kwake eneo la Paje, Mkoa wa Kusini Unguja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wakamata mabomu ya kivita Z’bar
11 years ago
Habarileo11 Apr
Polisi Z’bar wakamata silaha za kivita
POLISI Zanzibar, wamefanikiwa kukamata silaha mbili za vita na risasi 40 zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu, likiwemo la mauaji ya askari polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mwekezaji ajeruhi watu sita kwa risasi Z’bar
11 years ago
MichuziMSAMA AUCTION MART KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI WAKAMATA VIFAA MBALIMBALI VYA KUDURUFU KAZI ZA WASANII


11 years ago
Dewji Blog04 Nov
Msama Auction Mart kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wakamata vifaa mbalimbali vya Kkdurufu kazi za wasanii
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za kurudufu CD feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Ofisa wa Polisi, D/SSGT Daniel Gingo.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani), wino unaotumika kunakshia makasha ya CD feki wanazozitengeneza.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama...
11 years ago
GPLMSAMA AUCTION MART KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI WAKAMATA VIFAA MBALIMBALI VYA KUDURUFU KAZI ZA WASANII
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Polisi wakamata majangili sugu 40
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda