Mbaroni kwa silaha ya kivita
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa na bunduki ya kivita aina ya G3, namba FMP 061283B367 ikiwa na risasi zake tisa wakati wakisafirisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Silaha za kivita zauzwa mpakani
11 years ago
Habarileo11 Apr
Polisi Z’bar wakamata silaha za kivita
POLISI Zanzibar, wamefanikiwa kukamata silaha mbili za vita na risasi 40 zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu, likiwemo la mauaji ya askari polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SILAHA-1-001.jpg?width=650)
HOFU YATANDA, SILAHA ZA KIVITA KUKAMATWA
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mwakilishi ataka Zanzibar imiliki silaha za kivita
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Majambazi waua polisi, wapora silaha za kivita
WATU sita wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamemuua askari polisi wa Kituo kidogo cha Polisi kilichopo Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani na kuwajeruhi askari mgambo wawili baada ya kuvamia kituo hicho....
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mbaroni kwa wizi wa kutumia silaha
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu nane kwa tuhuma za unyang’anyi wa sh 978,600 kwa kutumia silaha katika Kijiji cha Jasini mpakani mwa Kenya na Tanzania. Akithibitisha kutokea...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-T1HdUMG-kDw/XldxkQK3rdI/AAAAAAACzkE/TGDg3p_KSX472Y1PT-TKpJTyng7roXLHwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
JWTZ YAKAMATA SILAHA ZA KIVITA MAKAMBI YA WAKIMBIZI KATAVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-T1HdUMG-kDw/XldxkQK3rdI/AAAAAAACzkE/TGDg3p_KSX472Y1PT-TKpJTyng7roXLHwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Operesheni hiyo imefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli alilolitoa mwezi Oktoba mwaka jana wakati wa ziara yake Mkoani Katavi kwa uongozi wa Serikali ambapo aliwataka ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s72-c/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s1600/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoW6XzNIBWo/VTYeSTpMd3I/AAAAAAAHSME/koTvyMoET6A/s1600/IMG-20150421-WA0017%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UhPaldN1yqc/VTYeSs3L5NI/AAAAAAAHSMU/24dlrcWN_6g/s1600/IMG-20150421-WA0019%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XC_vQ8G9wjM/VQ_jXOLq5-I/AAAAAAAHMWY/3efrdar_WNQ/s72-c/Bhangi%2Bikiteketezwa%2Bbaada%2Bya%2Bkukamatwa%2Bkatika%2Bshamba%2Bla%2Bmahindi..jpg)
SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10