Silaha za kivita zauzwa mpakani
Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na ujangili na uhalifu mwingine wa kutumia silaha ukiwamo ujambazi unaotokea maeneo mbalimbali, imebainika kuwa silaha za kivita zimeendelea kupenyezwa na kuuzwa nchini kutoka nchi jirani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Mbaroni kwa silaha ya kivita
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa na bunduki ya kivita aina ya G3, namba FMP 061283B367 ikiwa na risasi zake tisa wakati wakisafirisha...
11 years ago
Habarileo11 Apr
Polisi Z’bar wakamata silaha za kivita
POLISI Zanzibar, wamefanikiwa kukamata silaha mbili za vita na risasi 40 zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu, likiwemo la mauaji ya askari polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SILAHA-1-001.jpg?width=650)
HOFU YATANDA, SILAHA ZA KIVITA KUKAMATWA
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mwakilishi ataka Zanzibar imiliki silaha za kivita
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Majambazi waua polisi, wapora silaha za kivita
WATU sita wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamemuua askari polisi wa Kituo kidogo cha Polisi kilichopo Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani na kuwajeruhi askari mgambo wawili baada ya kuvamia kituo hicho....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-T1HdUMG-kDw/XldxkQK3rdI/AAAAAAACzkE/TGDg3p_KSX472Y1PT-TKpJTyng7roXLHwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
JWTZ YAKAMATA SILAHA ZA KIVITA MAKAMBI YA WAKIMBIZI KATAVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-T1HdUMG-kDw/XldxkQK3rdI/AAAAAAACzkE/TGDg3p_KSX472Y1PT-TKpJTyng7roXLHwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Operesheni hiyo imefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli alilolitoa mwezi Oktoba mwaka jana wakati wa ziara yake Mkoani Katavi kwa uongozi wa Serikali ambapo aliwataka ...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
11 years ago
Mwananchi15 Feb
ARV zauzwa mitaani Rorya
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Bidhaa zauzwa bila nembo ya ubora TZ