Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARV zauzwa mitaani Rorya

>Imebainika kuwa dawa za Serikali zikiwamo za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi zinauzwa katika maduka ya dawa baridi na maduka bubu ya watu binafsi katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Silaha za kivita zauzwa mpakani

Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na ujangili na uhalifu mwingine wa kutumia silaha ukiwamo ujambazi unaotokea maeneo mbalimbali, imebainika kuwa silaha za kivita zimeendelea kupenyezwa na kuuzwa nchini kutoka nchi jirani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Peremende zenye bangi zauzwa Kenya

Wizara ya afya nchini kenya imetoa orodha ya peremende, keki na biskuti bidhaa ambazo inadai zimewekwa bangi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kondomu milioni nane zauzwa Arusha

JUMLA ya pakiti milioni 8.2 za mipira ya kiume (kondomu), zimeuzwa mkoani Arusha mwaka jana na idadi hiyo inatarajia kuongezeka mwaka huu hadi kufikia pakiti milioni 9.9. Taarifa ya matumizi...

 

9 years ago

Mtanzania

Kadi za kura zauzwa 100,000/-

voter*Wanaume wadaiwa kuiba za wake zao

 

NA ARODIA PETER, DAR ES SALAAM

ZIKIWA zimebaki siku 14 kabla ya Watanzania kupiga kura, baadhi ya watu katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera wanadaiwa kununua vitambulisho vya kupigia kura vilivyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Wakazi wa kisiwa hicho walipiga simu katika gazeti la MTANZANIA wakimtuhumu mmoja wa wagombea udiwani wa Kata ya Goziba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Masaba Nkunami, kuwa ndiye kinara wa ununuzi huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bidhaa zauzwa bila nembo ya ubora TZ

Soko la Tanzania limekuwa likipokea bidhaa kutoka ndani na nje ya nchi lakini baadhi ya bidhaa zinaarifiwa kuuzwa madukani huku zikikosa nembo za ubora.

 

10 years ago

Mwananchi

Siti za daladala zauzwa kwa Sh500 Dar

Kwa mjamzito, mama mwenye mtoto, mzee au mtu mwingine yeyote mwenye matatizo, sasa anatakiwa kulipa fedha zaidi ya nauli ya daladala iwapo anataka nafasi ya kukaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saa sawa na zile za Apple zauzwa China

Saa aina ya Smartwatches zinazofanana na zile za Apple zimeanza kuwekwa katika matangazo ya biashara katika mtandao nchini China.

 

10 years ago

Mwananchi

Historia ya Ukimwi na ugunduzi wa ARV - 4

Wiki iliyopita tuliona wakati ugonjwa wa Ukimwi ukiwa haufahamiki chanzo chake, wataalamu wengi wa afya walikuwa wakihangaika kufanya utafiti.

 

9 years ago

TheCitizen

Experts sceptical of new directive on ARV provision

Tanzania’s failure to adopt some of the best practices in HIV/Aids care, which have been proposed by the World Health Organization (WHO) over the years, speaks volumes about the country’s commitment to mobilizing domestic resources for health.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani