Peremende zenye bangi zauzwa Kenya
Wizara ya afya nchini kenya imetoa orodha ya peremende, keki na biskuti bidhaa ambazo inadai zimewekwa bangi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ni haramu kutoa peremende badala ya chenji Kenya
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hlqj74NT58U/VZFC3dr_CbI/AAAAAAAHllI/e32gFevTI_A/s72-c/images.jpg)
DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-hlqj74NT58U/VZFC3dr_CbI/AAAAAAAHllI/e32gFevTI_A/s1600/images.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Ukuu wa Wilaya unavyogaiwa kama peremende
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Silaha za kivita zauzwa mpakani
11 years ago
Mwananchi15 Feb
ARV zauzwa mitaani Rorya
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kondomu milioni nane zauzwa Arusha
JUMLA ya pakiti milioni 8.2 za mipira ya kiume (kondomu), zimeuzwa mkoani Arusha mwaka jana na idadi hiyo inatarajia kuongezeka mwaka huu hadi kufikia pakiti milioni 9.9. Taarifa ya matumizi...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Bidhaa zauzwa bila nembo ya ubora TZ
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Kadi za kura zauzwa 100,000/-
*Wanaume wadaiwa kuiba za wake zao
NA ARODIA PETER, DAR ES SALAAM
ZIKIWA zimebaki siku 14 kabla ya Watanzania kupiga kura, baadhi ya watu katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera wanadaiwa kununua vitambulisho vya kupigia kura vilivyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Wakazi wa kisiwa hicho walipiga simu katika gazeti la MTANZANIA wakimtuhumu mmoja wa wagombea udiwani wa Kata ya Goziba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Masaba Nkunami, kuwa ndiye kinara wa ununuzi huo...