Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU


  STATE HOUSE ZANZIBAROFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE   Zanzibar                                                                                                           29.06.2015
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi  kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu

Kajala na Quick2

Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.

Kajala na Quick

Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.

Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;

“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM 2015

Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe Dk Ali Mohamed Shein akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm 2015 huko Dodoma wakati akikubali ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA

Wakuu wa nchi 20 zenye nguvu kiuchumi na zinazoinukia kiuchumi duniani, G20 wamekubaliana kusamehe kwa muda madeni ya nchi masikini duniani. 
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa. 
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video. 
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa. 
Mkurugenzi...

 

11 years ago

GPL

ALI KIBA:NIMEJIPANGA KWA MUDA MREFU KUONESHA SHOO KALI TAMASHA LA MATUMAINI

Makala: Elvan Stambuli BAADA ya kimya kirefu, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘Ali Kiba’ amesema amejipanga kwa muda mrefu ili ‘akamue’ vilivyo kwa shoo kali  katika Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam Agosti 8, mwaka huu. Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa ndani ya… ...

 

10 years ago

IPPmedia

Zanzibar President, Dr Ali Mohamed Shein


Zanzibar President, Dr Ali Mohamed Shein
IPPmedia
Eight former African presidents are expected to take part in a four-day regional conference on global peace leadership scheduled for Zanzibar later this month. The conference is expected to chart strategies aimed at reducing conflict, build social ...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN- UJERUMANI


1Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Maritim Hotel Bw.Wissmann katika Mji wa  Wurzburg Nchini Ujerumani jana alipowasili katika Mji huo akiwa katika ziara ya Kiserikali ambapo atahudhuria ufunguzi wa maonesho ya Muziki yanayojumuisha wasanii kutoka nchi za Afrika na Mabara mengine (kulia) Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Philip Marmo, [Picha na Ramadhan Othman.]2Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

10 years ago

Coastweek

Zanzibar President Ali Mohamed Shein is seeking second term


Zanzibar President Ali Mohamed Shein is seeking second term
Coastweek
DAR ES SALAM Tanzania (Xinhua) -- Zanzibar President Ali Mohamed Shein has collected presidential nomination forms on the ticket of the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), seeking a second five-year term. Speaking shortly after he had collected ...
Confident Shein picks forms for top Isles postDaily News

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani