NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
Wakuu wa nchi 20 zenye nguvu kiuchumi na zinazoinukia kiuchumi duniani, G20 wamekubaliana kusamehe kwa muda madeni ya nchi masikini duniani.
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video.
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa.
Mkurugenzi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b5uQVhH9VGY/XvOE8AlZyYI/AAAAAAALvTA/WKDeUybEAnMmIs7EJ79PiCQXbP2aaU78gCLcBGAsYHQ/s72-c/AA1111111111-768x512.jpg)
TANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b5uQVhH9VGY/XvOE8AlZyYI/AAAAAAALvTA/WKDeUybEAnMmIs7EJ79PiCQXbP2aaU78gCLcBGAsYHQ/s640/AA1111111111-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
……………………………………………………………………
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Nchi zenye Ebola kufutiwa madeni
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s72-c/b3.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO KWA NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s1600/b3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4PcAAeYq6-M/VMkSLOKwPaI/AAAAAAAG_-s/NEQ7sCbeguA/s1600/b4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4omzgfWD1sg/VMkZ7nM2zeI/AAAAAAABjZ0/ncb3m9rz8MA/s72-c/B%2B6.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4omzgfWD1sg/VMkZ7nM2zeI/AAAAAAABjZ0/ncb3m9rz8MA/s640/B%2B6.jpg)
11 years ago
Michuzi06 Mar
Serikali, UNDP, PATH wakubaliana njia bora ya kukabiliana na TB, Malaria na magonjwa kwenye nchi za joto
![DSC_0773](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0773.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JUluVB-wEZR96vSazor6cmgBg3En8iryR6xm07b4pG7S5xhu*B*IUZbMXWoi4WNytSrRmW-NbFqWBsgKM0zsS13ixvS*bEbN/b8.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0773.jpg)
SERIKALI, UNDP, PATH WAKUBALIANA NJIA BORA YA KUKABILIANA NA TB, MALARIA NA MAGONJWA KWENYE NCHI ZA JOTO
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Virusi vya corona: Shirika la fedha duniani kukabiliana na janga kiuchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EcPmiPVTFII/XtZqVIWSIjI/AAAAAAALsWc/i9zezqTSWtgZ1Y45RSCY_6ego4CXco34wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_153508_3.jpg)
Wananchi Watakiwa kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
Na Woinde Shizza , ARUSHA
BARAZA la Taifa la hifadhi na usimamizi wa Mazingira Kanda ya kaskazini (NEMC) limewataka wananchi kutunza mazingira ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Meneja Meneja wa kanda ya kaskazini Lewis Nzali alisema uharibifu wa mazingira unachangia kwa kiasi kikubwa kupoteza kwa baadhi ya viumbe hai maarufu kama bionuai pamoja na hali ya jangwa na ukame.
Alisema kuwa Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya...