TANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b5uQVhH9VGY/XvOE8AlZyYI/AAAAAAALvTA/WKDeUybEAnMmIs7EJ79PiCQXbP2aaU78gCLcBGAsYHQ/s72-c/AA1111111111-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
……………………………………………………………………
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video.
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa.
Mkurugenzi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI LIMA, Peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TwSGjDRNUNU/VhbXEUzU1ZI/AAAAAAAH-Ac/Mcz-FKOEPZY/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s72-c/IMG_4099.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI PERU-LIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s640/IMG_4099.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mikutano ya Benki ya Dunia la Shirika la Fedha la Kimataifa yaendelea mjini Peru-Lima
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa na Magavana wa Benki ya Dunia na Shirika la fedha la kimataifa wa Mashariki na Kusini mwa Afrika kwenye majadiliano ya kukuzauchumi katika mkutano wa MEFMI. Aliyesimama mbele ni Bi. Arunma Oteh Makamu wa Rais na Mweka hazina.
Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa katika mkutano wa kamati ya maendeleo akifuatilia kwa makini majadiliano...
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri Saada Mkuya wakati alipokutana na taasisi mbalimbali za fedha za kimataifa Washington DC
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly walipokuwa wakijadiliana na kuangalia ni jinsi gani Tanzania imeweza kutekeleza sera za Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter M. Sullivan...
5 years ago
MichuziTanzania Yaendelea Kuaminiwa Kimataifa
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Tanzania imeendelea kuaminiwa kimataifa kufuatia jitihada mbalimbali inayofanya kwa ajili ya kupiga vita vitendo vya rushwa pamoja kuwekeza katika miradi mbalimbali inayolenga na kuboresha maisha ya wananchi, pamoja na kukuza uchumi wa nchi.
Akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi alisema kuwa Machi 5, 2020 Shirika la Fedha Fedha Duniani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rlh_AZKF6Gc/XlvTZKMTUkI/AAAAAAALgOc/hSbmzZmklGU8aiDKbxeLAxbUld88DoW4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGL9990-2048x1365.jpg)
Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.
“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Huduma ya Tigopesa na WorldRemit wamerahisisha uhamishaji wa fedha kimataifa kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi
Huduma ya kifedha kwa kutumia njia ya simu ya mkononi ya Tigo ijulikayo kama Tigo Pesa inashirikiana na kampuni ya Worldremit ya Uingereza inayofanya huduma za kuhamisha fedha kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watanzania waishio nje ya nchi kutuma fedha moja kwa moja kuja kwa ndugu, jamaa na marafiki waishio Tanzania kwa kupitia simu zao za smartphone, tablets na tarakilishi.
Akitangaza wakati wa uzinduzi huo leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa huduma ya kifedha wa simu za mkononi za Tigo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o9BjnxWReOY/VY5YiJOzz_I/AAAAAAAHka8/XVqehPQBNlA/s72-c/MDF28286-15-04-2013-16-04-36-655.jpg)
UTAPIAMLO TISHIO KWA NCHI ZINAZOENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-o9BjnxWReOY/VY5YiJOzz_I/AAAAAAAHka8/XVqehPQBNlA/s320/MDF28286-15-04-2013-16-04-36-655.jpg)