UTAPIAMLO TISHIO KWA NCHI ZINAZOENDELEA
Na Chalila Kibuda,Globu Jamii IMEELEZWA kuwa asilimia 60 ya watoto wenye umri kati ya mwaka mmoja na miaka mitano katika Mkoa wa Lindi wanautapiamlo Sugu ambao ni udumavu wa kimo na viungo vya ndani vya mwili kwa kukosa lishe bora. Ukosefu umekuwa ukiwafanya watoto wa Mkoa wa Lindi kupata magonjwa ambayo yanachangiwa na kukosa kinga ambazo zinatokana na vyakula vyenye vitutubisho. Hayo aliyasema Meneja mradi wa Jukwaa la lishe Tanzania(Panita) Joseph Mugyabuso wakati akieleza hali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
YkileoUHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
10 years ago
Vijimambo22 Jul
Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini kunawa mikono ni vigumu katika baadhi ya nchi zinazoendelea
5 years ago
MichuziTANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
……………………………………………………………………
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea — Mhe. Uhuru Kenyatta
Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda –...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Mkoa tajiri kwa chakula taabani kwa utapiamlo
LICHA ya kuwa miongoni mwa mikoa sita nchini inayoongoza kulima ziada kubwa ya chakula hususani mahindi na mpunga, bado Mkoa wa Katavi una kiwango cha juu cha watoto chini ya miaka mitano wenye utapiamlo mkali na unaowasababishia udumavu.
11 years ago
Habarileo24 Jun
Mabadiliko tabia nchi tishio Zanzibar
MABADILIKO ya tabia nchi yameathiri visiwa vya Zanzibar na kutishia ustawi wa kilimo hususani cha mpunga.
10 years ago
Michuzi21 Sep
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?