Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Kwanini kunawa mikono ni vigumu katika baadhi ya nchi zinazoendelea

Ushauri wa WHO ni vigumu kuzingatiwa katika mataifa yanayoendelea.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uhaba wa sabuni za kunawa mikono washuhudiwa Kenya

Wakenya wamininika kwa wingi katika maduka ya jumla kununua bidhaa za kuua vijidudu vya kuua viini

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kwanini watu katika baadhi ya mataifa wanatumia barakoa huku mengine hawatumii?

Ukitoka nje ya nyumba Hongokong bila kuvaa barakoa watu watakuangalia vibaya .Lakini si katika maeneo mengine ya dunia. Lakini je ni kwanini?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini ni marufuku kupeana mikono na busu?

Nchi kadhaa duniani zimepiga marufuku kupeana salamu kwa njia ya kushikana mikono hata kuvunja tamaduni walizojiwekea miaka mingi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii yahimizwa kunawa mikono

JAMII imeshauriwa kuchukua tahadhari kwa kunawa mikono kabla na baada ya kula sambamba na kutumia vyoo bora ili kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kuharisha na kutapika. Ushauri huo umetolewa...

 

10 years ago

Vijimambo

Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.Na Anna Nkinda –...

 

5 years ago

Michuzi

Uhaba wa kemikali za kunawa mikono washuhudiwa Kenya

Hali ya wasiwasi yatanda nchini Kenya baada ya kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kuthibitishwa kupitia Wizara ya afya.

Ijumaa, waziri wa Afya bwana Mutahi Kagwe alisema kwamba mtu mwenye maambukizi ya virusi vya Corona alithibitishwa kuwa na maambukizi hayo Alhamisi usiku.

Baada ya tangazo hilo, raia walionekana wakikimbilia kwenye maduka ya jumla kununua kemikali za kuua viini vya bakteria mikononi maarufu kwa kiingereza kama ''hand sanitisers'' pamoja na barakoa za kufunika uso.

Wateja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kunawa mikono iwe hiari baada ya kutoka mawaliwato

Seneta wa North Carolina amewataka wamiliki wa migahawa kuacha kuwashurtisha wafanyakazi wao kunawa mikono baada ya kutoka maliwatoni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea — Mhe. Uhuru Kenyatta

12_7

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta  kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.

CKV9RFDWoAA1kFz

Na Anna Nkinda –...

 

5 years ago

Michuzi

Prof. Mkumbo awatembelea Sekondari ya Msalato, agawa vitakasa mikono na eneo la kunawa



Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua rasmi eneo maalumu la kunawa mikono kwa wanafunzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani