Coronavirus: Kwanini ni marufuku kupeana mikono na busu?
Nchi kadhaa duniani zimepiga marufuku kupeana salamu kwa njia ya kushikana mikono hata kuvunja tamaduni walizojiwekea miaka mingi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Marufuku kupeana mikono Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amewataka wakazi wa jijini hilo kuchukua hadhari za kiafya ikiwamo kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono kutokana na mlipuko wa kipindupindu ambao mpaka sasa umeshawapata watu 56, kati yao watatu wamefariki dunia.
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini kunawa mikono ni vigumu katika baadhi ya nchi zinazoendelea
Ushauri wa WHO ni vigumu kuzingatiwa katika mataifa yanayoendelea.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Kwanini Rwanda imeongeza muda wa marufuku ya kutotoka nje?
Marufuku ya kutotoka nje ilikuwa imalizike mwishoni mwa juma hili, lakini mambo hayajawa kama ilivyopangwa
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani
10 years ago
Bongo524 Oct
Ni marufuku kwa wanafunzi kupigana busu kwenye chuo kikuu cha Zimbabwe
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Zimbabwe hawaruhisiwi kupigana mabusu. Hiyo ni moja ya sheria kali kwenye chuo hicho. Uongozi wa chuo hicho umedai kuwa wanafunzi watakaokutwa kwenye pozi la kimahaba watachukuliwa hatua za kinidhamu. “Katika umri huu kusema siruhusiwi kumbusu au kumkumbatia mtu.. haiingii akilini,” mwakilishi wa wanafunzi wa chuo hicho, Tsitsi Mazikana aliiambia BBC.
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Fahamu kwanini idadi ya vifo vya coronavirus iko juu Italy?
Mlipuko wa virusi vya corona unaendelea kuliathiri pakubwa taifa la Itali, huku hospitali zikishindwa kumudu idadi ya maambukizi mbali na kuwekwa kwa sheria ya kutotoka nje.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-22FUJ78-rm0/XpiIiI81IQI/AAAAAAALnM4/NJ9OraBbri0etYozD0G29NhdJLNRjIJSQCLcBGAsYHQ/s72-c/26e61741-1fe8-43eb-aca4-fc9391eaf25a.jpg)
DC NDEJEMBI APIGA MARUFUKU BIASHARA ZISIZO NA VITAKASA MIKONO NDANI YA WILAYA YA KONGWA
Charles James, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepiga marufuku biashara zozote ndani ya wilaya hiyo ambazo hazina vifaa vya kujikinga na corona.
DC Ndejembi amewataka wafanyabiashara wote kuhakikisha wanaweka maji ya kunawa yanayotiririka, sabuni au vitakasa mikono ikiwa ni jitihada za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu maarufu Corona.
Akizungumza katika mkutano wake na watendaji wa kata zote za wilaya hiyo, DC Ndejembi pia amewataka watendaji hao...
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchinjwaji wa punda, je ni kwanini?
Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya uchinjwaji wa punda nchini huko ili kuzuwia ku kutokomea kwa wanyama hao ambao idadi yao inasemekana kupundua.
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Uhaba wa sabuni za kunawa mikono washuhudiwa Kenya
Wakenya wamininika kwa wingi katika maduka ya jumla kununua bidhaa za kuua vijidudu vya kuua viini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania