Coronavirus: Kwanini Rwanda imeongeza muda wa marufuku ya kutotoka nje?
Marufuku ya kutotoka nje ilikuwa imalizike mwishoni mwa juma hili, lakini mambo hayajawa kama ilivyopangwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje
Serikali ya Rwanda imepunguza ukali wa masharti iliyoweka kama hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona tangu wiki sita zilizopita.
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili
Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Idadi ya maambukizi Rwanda yaongezeka licha ya amri ya kutotoka nje
Rwanda imetangaza maambukizi mapya mengine 13 chini ya wiki mbili huku taifa likiwa limefunga mipaka kama juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje?
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu manunuzi ya chakula kingi hasa katika uhifadhi wake katika maeneo yenye miundombinu mibaya ya uhifadhi, pia hali ya uchumi.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virus via corona: Italia kulegeza masharti ya usafiri na marufuku ya kutotoka nje
Uamuzi wa kulegeza masharti ya kutotoka nje unaashiria hatua kubwa katika juhudi za nchi hiyo kufungua tena uchumi wake baada ya zaidi ya miezi miwili ya kufungwa.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Trump hana 'mamlaka 'ya kuondoa marufuku ya kutotoka nje
Rais Donald Trump amedai kuwa anatumia nguvu zote ili kuhakikisha kuwa taifa kwa ujumla linajiondoa katika marufuku ya kutotoka nje kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, jambo ambalo linatofautiana na kile ambacho magavana na wataalamu wa sheria wamesema.
5 years ago
CCM Blog16 May
ITALIA KAMA TANZANIA, YAANZA KULEGEZA MASHARTI YA USAFIRI NA MARUFUKU YA KUTOTOKA NJE

5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Jinsi ya kuimarisha afya yako ya akili wakati wa marufuku ya kutotoka nje
Taarifa za mara kwa mara kuhusu janga la coronavirus linavyowaathiri ulimwengu zimesababisha baadhi ya watu kuwa na hofu
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje
Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania