Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili
Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s72-c/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
RWAND YAONGEZA WIKI MBILI KUTOTOKA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s400/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
Hii ni hatua ya pili kali kutangazwa na serikali wiki mbili baada ya amri ya kwanza ya kutotoka nje kutangazwa ghafla usiku wa Machi 21 na kuanza kutekelezwa asubuhi yake.
Wakati huo Rwanda ilikuwa imeripoti kuwa na wagonjwa 17 pekee wa orona, lakini idadi hiyo siku ya Ijumaa iliongezeka hadi 138, huku watu 60 wakithibitishwa...
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje
Serikali ya Rwanda imepunguza ukali wa masharti iliyoweka kama hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona tangu wiki sita zilizopita.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje
Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
Mataifa mengi barani Afrika wameweka marufuku ya watu kutoka nje, shule kufungwa na shughuli mbalimbali kusimama.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?
Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Trump hana 'mamlaka 'ya kuondoa marufuku ya kutotoka nje
Rais Donald Trump amedai kuwa anatumia nguvu zote ili kuhakikisha kuwa taifa kwa ujumla linajiondoa katika marufuku ya kutotoka nje kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, jambo ambalo linatofautiana na kile ambacho magavana na wataalamu wa sheria wamesema.
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Virusi vya corona: Mamilioni ya wakazi wa Beijing waamriwa kutotoka nje ya jiji
Shule zimefungwa tena na usafiri kusitishwa huku mji wa Beijing ukithibitisha watu 31 wa ugonjwa wa Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Sheria za amri ya kutotoka nje zinavyowaathiri makahaba Afrika
Janga virusi vya corona umesababisha nchi mbali mbali duniani kulazimika kutangaza amri ya kutotoka nje ili kuzuwia maambukizi ya virusi ambavyo tayari vimesababisha vifo zaidi ya 2000 barani Afrika vilivyorekodiwa.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona : Namna nchi za Afrika zinavyotekeleza amri ya kutotoka nje
Nchi zimechukua mkondo tofauti katika kuweka makatazo- zipi hasa zinafanikiwa katika vita dhidi ya virusi?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania