Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili

Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RWAND YAONGEZA WIKI MBILI KUTOTOKA NJE

Serikali ya Rwanda imeogeza kwa karibu wiki mbili amri ya kutotoka nje hadi Aprili 30 kama sehemu ya hatua ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona.

Hii ni hatua ya pili kali kutangazwa na serikali wiki mbili baada ya amri ya kwanza ya kutotoka nje kutangazwa ghafla usiku wa Machi 21 na kuanza kutekelezwa asubuhi yake.

Wakati huo Rwanda ilikuwa imeripoti kuwa na wagonjwa 17 pekee wa orona, lakini idadi hiyo siku ya Ijumaa iliongezeka hadi 138, huku watu 60 wakithibitishwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje

Serikali ya Rwanda imepunguza ukali wa masharti iliyoweka kama hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona tangu wiki sita zilizopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje

Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona

Mataifa mengi barani Afrika wameweka marufuku ya watu kutoka nje, shule kufungwa na shughuli mbalimbali kusimama.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?

Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Trump hana 'mamlaka 'ya kuondoa marufuku ya kutotoka nje

Rais Donald Trump amedai kuwa anatumia nguvu zote ili kuhakikisha kuwa taifa kwa ujumla linajiondoa katika marufuku ya kutotoka nje kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, jambo ambalo linatofautiana na kile ambacho magavana na wataalamu wa sheria wamesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mamilioni ya wakazi wa Beijing waamriwa kutotoka nje ya jiji

Shule zimefungwa tena na usafiri kusitishwa huku mji wa Beijing ukithibitisha watu 31 wa ugonjwa wa Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Sheria za amri ya kutotoka nje zinavyowaathiri makahaba Afrika

Janga virusi vya corona umesababisha nchi mbali mbali duniani kulazimika kutangaza amri ya kutotoka nje ili kuzuwia maambukizi ya virusi ambavyo tayari vimesababisha vifo zaidi ya 2000 barani Afrika vilivyorekodiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Namna nchi za Afrika zinavyotekeleza amri ya kutotoka nje

Nchi zimechukua mkondo tofauti katika kuweka makatazo- zipi hasa zinafanikiwa katika vita dhidi ya virusi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani