RWAND YAONGEZA WIKI MBILI KUTOTOKA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-yafSCvfZg1Y/XprICP7pHVI/AAAAAAAAyMs/Dtf0S13nIXY35Vg0eGLt2TnSXVA9QpMQQCLcBGAsYHQ/s72-c/w1240-p16x9-paul_kagame_president_rwanda_0.jpg)
Serikali ya Rwanda imeogeza kwa karibu wiki mbili amri ya kutotoka nje hadi Aprili 30 kama sehemu ya hatua ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona.
Hii ni hatua ya pili kali kutangazwa na serikali wiki mbili baada ya amri ya kwanza ya kutotoka nje kutangazwa ghafla usiku wa Machi 21 na kuanza kutekelezwa asubuhi yake.
Wakati huo Rwanda ilikuwa imeripoti kuwa na wagonjwa 17 pekee wa orona, lakini idadi hiyo siku ya Ijumaa iliongezeka hadi 138, huku watu 60 wakithibitishwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Amri ya kutotoka nje yaondolewa Baghdad
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ebola:amri ya kutotoka nje Liberia
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Ukungu : agizo la kutotoka nje China
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Amri ya kutotoka nje yatolewa Garissa
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Raia wa S Leone kutotoka nje kwa siku 3
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Maharusi wakamatwa kwa kukiuka sheria ya kutotoka nje
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ebola:Amri ya kutotoka nje kwa siku 3 S.Leone
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Kwanini Rwanda imeongeza muda wa marufuku ya kutotoka nje?