Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa S Leone kutotoka nje kwa siku 3

Katika harakati za kuangamiza kabisa janga la ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone,makataa ya kutotoka nje yametolewa Sierra Leone

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Amri ya kutotoka nje kwa siku 3 S.Leone

Serikali ya Sierra imetoa amri ya kutotoka nje kwa siku tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mgogoro kuhusu amri ya kutotoka nje Malawi na mipango ya kuwalipa raia fedha

Kumekuwa na kutoeleweka kwa katiba kuhusu uamuzi wa serikali wa kutaka kuweka marufuku ya watu kutotoka nje ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje

Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nepal walala nje kwa siku ya pili

Maelfu ya raia wa Nepal wamelazimika kulala nje kwa siku ya pili mfulululizo

 

5 years ago

BBCSwahili

Maharusi wakamatwa kwa kukiuka sheria ya kutotoka nje

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata bwana harusi bi harusi, kuhani, na wageni 40 ambao walivunja sheria za kutotoka nje za nchi hiyo na kufanya harusi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi Kenya ashtakiwa kwa mauaji wakati wa amri ya kutotoka nje usiku

Polisi mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kwa mauaji ya kijana Yasin Moyo, 13, ambaye alipigwa risasi akiwa barazani kwao

 

5 years ago

CCM Blog

MITAA YA NAIROBI , MOMBASA KINARA KWA CORONA YAPIGWA STOP KUTOTOKA NJE SAA 24


Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Kenyatta amkanya mwanae kwa kuvunja amri ya kutotoka nje usiku

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amefichua jinsi mtoto wake wa kiume alivyovunja marufuku ya kutotembea nje iliyowekwa nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani