MITAA YA NAIROBI , MOMBASA KINARA KWA CORONA YAPIGWA STOP KUTOTOKA NJE SAA 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona:Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s640/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Rais Kenyatta amkanya mwanae kwa kuvunja amri ya kutotoka nje usiku
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Maharusi wamekamatwa Afrika Kusini kwa kufunga ndoa licha ya amri ya kutotoka nje
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virus via corona: Italia kulegeza masharti ya usafiri na marufuku ya kutotoka nje
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Sheria za amri ya kutotoka nje zinavyowaathiri makahaba Afrika