Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:amri ya kutotoka nje Liberia

Rais wa Sierra Leone Ellen Johnson Sirleaf ametangaza amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kufuatia kuenea kwa Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Amri ya kutotoka nje kwa siku 3 S.Leone

Serikali ya Sierra imetoa amri ya kutotoka nje kwa siku tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amri ya kutotoka nje yaondolewa Baghdad

Raia kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad wamesherehekea kuondolewa kwa amri ya kutotembea ya miaka 12 mjini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amri ya kutotoka nje yatolewa Garissa

Serikali ya Kenya imetangaza amri ya kutotoka nje usiku kwa muda wa wiki mbili katika kaunti kadhaa kaskazini mashariki mwa Kenya.

 

5 years ago

Michuzi

Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24

Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.

Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.

Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wakenya waanza kutekeleza amri ya kutotoka nje usiku

Amri ya kutotoka nje nchini Kenya kuanzia saa moja usiku hadi saa kumi na moja alfajiri imeanza kutekelezwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya maambukizi Rwanda yaongezeka licha ya amri ya kutotoka nje

Rwanda imetangaza maambukizi mapya mengine 13 chini ya wiki mbili huku taifa likiwa limefunga mipaka kama juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Namna nchi za Afrika zinavyotekeleza amri ya kutotoka nje

Nchi zimechukua mkondo tofauti katika kuweka makatazo- zipi hasa zinafanikiwa katika vita dhidi ya virusi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Sheria za amri ya kutotoka nje zinavyowaathiri makahaba Afrika

Janga virusi vya corona umesababisha nchi mbali mbali duniani kulazimika kutangaza amri ya kutotoka nje ili kuzuwia maambukizi ya virusi ambavyo tayari vimesababisha vifo zaidi ya 2000 barani Afrika vilivyorekodiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi Kenya ashtakiwa kwa mauaji wakati wa amri ya kutotoka nje usiku

Polisi mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kwa mauaji ya kijana Yasin Moyo, 13, ambaye alipigwa risasi akiwa barazani kwao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani