Amri ya kutotoka nje yaondolewa Baghdad
Raia kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad wamesherehekea kuondolewa kwa amri ya kutotembea ya miaka 12 mjini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Amri ya kutotoka nje yatolewa Garissa
Serikali ya Kenya imetangaza amri ya kutotoka nje usiku kwa muda wa wiki mbili katika kaunti kadhaa kaskazini mashariki mwa Kenya.
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ebola:amri ya kutotoka nje Liberia
Rais wa Sierra Leone Ellen Johnson Sirleaf ametangaza amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kufuatia kuenea kwa Ebola
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ebola:Amri ya kutotoka nje kwa siku 3 S.Leone
Serikali ya Sierra imetoa amri ya kutotoka nje kwa siku tatu.
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Wakenya waanza kutekeleza amri ya kutotoka nje usiku
Amri ya kutotoka nje nchini Kenya kuanzia saa moja usiku hadi saa kumi na moja alfajiri imeanza kutekelezwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s640/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Idadi ya maambukizi Rwanda yaongezeka licha ya amri ya kutotoka nje
Rwanda imetangaza maambukizi mapya mengine 13 chini ya wiki mbili huku taifa likiwa limefunga mipaka kama juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Mgogoro kuhusu amri ya kutotoka nje Malawi na mipango ya kuwalipa raia fedha
Kumekuwa na kutoeleweka kwa katiba kuhusu uamuzi wa serikali wa kutaka kuweka marufuku ya watu kutotoka nje ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa corona
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Polisi Kenya ashtakiwa kwa mauaji wakati wa amri ya kutotoka nje usiku
Polisi mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kwa mauaji ya kijana Yasin Moyo, 13, ambaye alipigwa risasi akiwa barazani kwao
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona : Namna nchi za Afrika zinavyotekeleza amri ya kutotoka nje
Nchi zimechukua mkondo tofauti katika kuweka makatazo- zipi hasa zinafanikiwa katika vita dhidi ya virusi?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania