Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Idadi ya maambukizi Rwanda yaongezeka licha ya amri ya kutotoka nje

Rwanda imetangaza maambukizi mapya mengine 13 chini ya wiki mbili huku taifa likiwa limefunga mipaka kama juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Maharusi wamekamatwa Afrika Kusini kwa kufunga ndoa licha ya amri ya kutotoka nje

Magari ya polisi wala sio magari ya kubebea maharusi yapokea waliofunga ndoa kwa kupuuza marufuku ya kukusanyika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje

Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wakenya waanza kutekeleza amri ya kutotoka nje usiku

Amri ya kutotoka nje nchini Kenya kuanzia saa moja usiku hadi saa kumi na moja alfajiri imeanza kutekelezwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi walioambukizwa virusi vya corona yaongezeka Rwanda

Wizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi amri ya kutotoka nje inavyotekelezwa na mataifa tofauti duniani kuzuia virusi vya corona

Nchi zote duniani zitachukua hatua ambazo hazijawahi kuchukuliwa kabla ya kuzuia kuenea kwa virusi vya corona, kuanzia hatua kali kabisa, za wastani hadi zile za kawaida

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini Rwanda imeongeza muda wa marufuku ya kutotoka nje?

Marufuku ya kutotoka nje ilikuwa imalizike mwishoni mwa juma hili, lakini mambo hayajawa kama ilivyopangwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'

Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya kukabiliana na maradhi hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:amri ya kutotoka nje Liberia

Rais wa Sierra Leone Ellen Johnson Sirleaf ametangaza amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kufuatia kuenea kwa Ebola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani