Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukungu : agizo la kutotoka nje China

Uchina imesema tahadhari ya uchafuzi wa mazingira iliotolewa katika miji 23 jumapili, itaendelea kudumishwa kwa siku moja zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ukungu China yatoa ilani karakana zifungwe

Wakuu katika mji mkuu wa uchina, Beijing, wametoa ilani kali kabisa mwaka huu, kuhusu ukungu katika mji huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amri ya kutotoka nje yatolewa Garissa

Serikali ya Kenya imetangaza amri ya kutotoka nje usiku kwa muda wa wiki mbili katika kaunti kadhaa kaskazini mashariki mwa Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amri ya kutotoka nje yaondolewa Baghdad

Raia kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad wamesherehekea kuondolewa kwa amri ya kutotembea ya miaka 12 mjini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:amri ya kutotoka nje Liberia

Rais wa Sierra Leone Ellen Johnson Sirleaf ametangaza amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kufuatia kuenea kwa Ebola

 

5 years ago

CCM Blog

RWAND YAONGEZA WIKI MBILI KUTOTOKA NJE

Serikali ya Rwanda imeogeza kwa karibu wiki mbili amri ya kutotoka nje hadi Aprili 30 kama sehemu ya hatua ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona.

Hii ni hatua ya pili kali kutangazwa na serikali wiki mbili baada ya amri ya kwanza ya kutotoka nje kutangazwa ghafla usiku wa Machi 21 na kuanza kutekelezwa asubuhi yake.

Wakati huo Rwanda ilikuwa imeripoti kuwa na wagonjwa 17 pekee wa orona, lakini idadi hiyo siku ya Ijumaa iliongezeka hadi 138, huku watu 60 wakithibitishwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa S Leone kutotoka nje kwa siku 3

Katika harakati za kuangamiza kabisa janga la ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone,makataa ya kutotoka nje yametolewa Sierra Leone

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Amri ya kutotoka nje kwa siku 3 S.Leone

Serikali ya Sierra imetoa amri ya kutotoka nje kwa siku tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maharusi wakamatwa kwa kukiuka sheria ya kutotoka nje

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata bwana harusi bi harusi, kuhani, na wageni 40 ambao walivunja sheria za kutotoka nje za nchi hiyo na kufanya harusi.

 

5 years ago

Michuzi

Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24

Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.

Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.

Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani