Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukungu China yatoa ilani karakana zifungwe

Wakuu katika mji mkuu wa uchina, Beijing, wametoa ilani kali kabisa mwaka huu, kuhusu ukungu katika mji huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ukungu : agizo la kutotoka nje China

Uchina imesema tahadhari ya uchafuzi wa mazingira iliotolewa katika miji 23 jumapili, itaendelea kudumishwa kwa siku moja zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jela siku 1 iwe ilani ya Ufisadi China

Maafisa wa serikali Mashariki mwa China wamelazimika kuzuru gereza moja nchini humo kama ilani ya kutoshiriki ufisadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali yaagiza shule zifungwe Kenya

Serikali nchini Kenya imeagiza shule zote nchini humo, za umma na za kibinafsi, zifungwe kuanzia Jumatatu huku mgomo wa walimu ukiendelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

China yatoa onyo mgogoro wa Hong Kong

China imetoa onyo kali dhidi ya maandamano yanayoendelea Hong Kong kwa kusema mgogoro huo unahusu mambo ya ndani ya China

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yatoa orodha ya makampuni yanayomilikiwa na Jeshi la China na kuonya

Idara ya ulinzi nchini Marekani imebaini kwamba makampuni 20 makubwa nchini China, ikiwemo Huwawei yanamilikiwa na jeshi la China.

 

10 years ago

Vijimambo

UKUNGU WATANDA NI BAADA YA WEMA SEPETU KUKABIDHIWA MAGARI 2 KWENYE B DAY YAKE..BMW LAZUA MIGUNO

Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa ndani ya Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa na meneja wake.Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao.
Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa ndani ya Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa na meneja wake.NYUMBANI KWA MADAMPati hiyo ambayo...

 

5 years ago

CCM Blog

MAHAKAMA KUU YA KENYA YATOA AMRI KUSITISHWA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA CHINA

  Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo  kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini Kenya kutoka China kupitia uwanja wa...

 

5 years ago

Michuzi

Mahakama Kuu ya Kenya yatoa amri ya kusitishwa ndege zote kutoka China

Rais Uhuru Kenyatta
Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.

Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.

Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kujenga karakana NIT

SERIKALI inatarajia kujenga karakana  nne  katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zitakazogharimu dola 300,000 ambazo zitakamilika mwakani. Akizungumza   jijini Dar es Salaam jana baada ya Kamati ya Miundombinu kutembelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani