Jela siku 1 iwe ilani ya Ufisadi China
Maafisa wa serikali Mashariki mwa China wamelazimika kuzuru gereza moja nchini humo kama ilani ya kutoshiriki ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OtwXfXvB3-DUQIc7AvkkfgwKd7JJkw35pBJQHFV0whW-BSGeWgmCRBfz2a2IV8yr3hONPookj5j18T10SUWJ45/MAMAWEMA.jpg?width=650)
HAIWEZEKANI JELA IWE HAIMUITI CHID BENZ!
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Ukungu China yatoa ilani karakana zifungwe
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Magufuli aamua sikukuu iwe siku ya kazi
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Siku ya Sheria iwe mkombozi kwa wanyonge
KESHO ni kilele cha Siku ya Sheria nchini, ni utaratibu wa kawaida wa kila mwaka uliojiwekea mhimili wa Mahakama. Kilele hicho ni ishara ya ufunguzi rasmi wa shughuli za Mahakama...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Siku ya Wanawake iwe mwanzo mpya kwa wasanii wetu wa kike
MACHI 8 ya kila mwaka ni Siku ya Wanawake Duniani, ambayo husherehekewa kote duniani, ambapo Watanzania wanaungana na wengine kuipokea siku hiyo chini ya kaulimbiu ambayo kwa mwaka huu ni...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China
9 years ago
StarTV18 Dec
Raia wanne wa China wahukumia miaka 20 jela
Mahakama ya Mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China baada ya kuwakuta na hatia ya kuingiza nchini pembe 11 za Faru kinyume na Sheri ya Wanyamapori namba tano ya mwaka 2009 na Sheria ya Uhujumu Uchumi ya Tanzania.
Katika adhabu hiyo Mahakama pia imeamuru kutaifishwa kwa gari binafsi namba T 103 DER iliyotumiwa na raia hao wa China kuingiza pembe hizo nchini Novemba 6 mwaka huu kutoka nchini Malawi kupitia mpaka wa Kasumulo uliopo wilayani Kyela mkoani...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l0xuDIUQ6hw/VV2gpk85GTI/AAAAAAADny4/3uqiJLjSF2Q/s640/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...