HAIWEZEKANI JELA IWE HAIMUITI CHID BENZ!
HUYU jamaa ni shiiida! Ninaandika kwa mara ya pili kuhusu ujinga wa huyu staa, mmoja kati ya vijana wanaojua sana kurap, lakini bahati mbaya sana hajui thamani yake, anaitwa Rashid Makwiro lakini wengi tukimtambua kama Chid Benz. Dogo mzaliwa wa Dar es Salaam, pale Ilala, anajua kazi yake ya muziki, lakini kitu kimoja ambacho ameshindwa kabisa kukitambua katika umri wake mkubwa, ni kuhusu nafasi yake kwa jamii inayomzunguka....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAY C: CHID BENZ ATAOZEA JELA
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Chid Benz ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela
10 years ago
Bongo507 Nov
Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Chid Benz huru mtaani
Na modewji blog team
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Chid Benz atimuliwa mahakamani
10 years ago
GPLKESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA
10 years ago
Daily News29 Oct
Chid Benz remanded in custody
Chid Benz remanded in custody
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), was remanded in custody by the Kisutu Resident Magistrate's Court, after failing to meet bail conditions. The gruff-voiced rapper, who is behind hits like 'Dar es Salaam Stand ...
11 years ago
GPLCHID BENZ NA USTAA PORI
10 years ago
GPLKESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA