CHID BENZ NA USTAA PORI
![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXxtOkoWb29F5XAIMFNqbYELYR3EwR2enU4DJHMB67IUkpZJts*gJNzqE5BipzhWA1oLW5*acPst-q6VE78PnGfk/10.jpg)
NI bwana mdogo, lakini ana mwili mkakamavu wenye kumuonyesha kama kijana mwenye ubavu. Ana sauti nzuri ya kukwaruza akiwa nyuma ya Mic, ambayo kwa mashabiki wa Hip Hop za Kimarekani, wanaweza kumlinganisha na rapa Ja Rule! Namzungumzia Rashid Makwiro, maarufu kama Chid Benz, mtoto wa Ilala Maflet, aliyeingia katika anga la Bongo Fleva miaka michache iliyopita na kuteka mashabiki wengi kutokana na uwezo wake mkubwa wa kurap....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Nov
Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ APATA DHAMANA
10 years ago
Daily News29 Oct
Chid Benz remanded in custody
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), was remanded in custody by the Kisutu Resident Magistrate's Court, after failing to meet bail conditions. The gruff-voiced rapper, who is behind hits like 'Dar es Salaam Stand ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Chid Benz atimuliwa mahakamani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg3*Iyvt90DSt5oT20Lf6U4hQjUZP8Q9QGKLl7Ba9HNopUt0VXWvUSXeDCKIuek51EB2qvq0z85a*SGDrfCArDwR/chdi.jpg)
CHID BENZ AMPIGA RAY C
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zZOffqkaKwxZREOOgvjekx55i8jEtj65j*F56r8wLFz40jfUqrp8zHtLvvRQwX0T0SMXBocmX9C6QvqT6mlHFk9/chid.jpg)
CHID BENZ KIZIMBANI TENA
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Chid Benz huru mtaani
Na modewji blog team
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...