Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
Wakali wa Hip Hop Tanzania Rashid na Fareed a.k.a Chid Benz na Fid Q wana mpango wa kurekodi album ya pamoja. Chid ambaye ameachia ngoma mpya wiki hii ‘Kimbiza’, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds Fm kuwa mpango wa kufanya album na Fid lilikuwa ni wazo lake. “Ni idea yangu nilikuwa nayo kabla sijatoa ngoma, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ APATA DHAMANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXxtOkoWb29F5XAIMFNqbYELYR3EwR2enU4DJHMB67IUkpZJts*gJNzqE5BipzhWA1oLW5*acPst-q6VE78PnGfk/10.jpg)
CHID BENZ NA USTAA PORI
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Chid Benz huru mtaani
Na modewji blog team
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg3*Iyvt90DSt5oT20Lf6U4hQjUZP8Q9QGKLl7Ba9HNopUt0VXWvUSXeDCKIuek51EB2qvq0z85a*SGDrfCArDwR/chdi.jpg)
CHID BENZ AMPIGA RAY C
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zZOffqkaKwxZREOOgvjekx55i8jEtj65j*F56r8wLFz40jfUqrp8zHtLvvRQwX0T0SMXBocmX9C6QvqT6mlHFk9/chid.jpg)
CHID BENZ KIZIMBANI TENA
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Chid Benz atimuliwa mahakamani