Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY C: CHID BENZ ATAOZEA JELA

Stori: Musa Mateja
NYOTA wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ambaye hivi karibuni aliripotiwa kupokea kipigo cha maana kutoka kwa msanii mwenzake, Rashid Makwilo almaarufu Chid Benz, ameibuka na kudai kuwa atahakikisha rapa huyo anaozea jela kwa kitendo hicho alichomfanyia. Nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’. Akizungumza na gazeti hili, Ray C alisema amejikuta akipatwa na dhamira...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHID BENZ AMPIGA RAY C

Na Musa Mateja
Uonevu! Rapa mwenye ‘swagger’ za Ja-Rule Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, anadaiwa kukwaa kisanga kingine kibaya baada ya kukurupuka kutoka nyumbani kwake na kwenda kumvamia staa mwenzake, Rehema Chalamila ‘Ray C’ nyumbani kwake anapoishi na kumtwanga makonde ikiwa ni siku chache tangu jamaa huyo apate msala mwigine wa aina hiyo. Rapa mwenye ‘swagger’ za...

 

11 years ago

GPL

HAIWEZEKANI JELA IWE HAIMUITI CHID BENZ!

HUYU jamaa ni shiiida! Ninaandika kwa mara ya pili kuhusu ujinga wa huyu staa, mmoja kati ya vijana wanaojua sana kurap, lakini bahati mbaya sana hajui thamani yake, anaitwa Rashid Makwiro lakini wengi tukimtambua kama Chid Benz. Dogo mzaliwa wa Dar es Salaam, pale Ilala, anajua kazi yake ya muziki, lakini kitu kimoja ambacho ameshindwa kabisa kukitambua katika umri wake mkubwa, ni kuhusu nafasi yake kwa jamii inayomzunguka....

 

11 years ago

Bongo5

Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘itakuwa amechanyikiwa na madawa’

Msanii wa muziki na mmiliki wa Ray foundation, Rehema Chalamila aka Ray C amefunguka kwa kusema kuwa alhamisi (july 10) alivamiwa na kupigwa na msanii Chid Benz. Akizungumza na bongo5 leo ,Ray C amesema kuwa Chid Benz anatafutwa na polisi baada ya kufanya tukio hilo. “kweli alinivamia alhamisi usiku, amenipiga mimi na amefanya uharibifu wa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela

Msanii Chid Benz ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela

 

10 years ago

GPL

RAY C AMFUTIA KESI CHID BENZ KESI!

Stori: Musa Mateja
WAKATI nyota wa muziki wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ akikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Julius Nyerere akiwa na madawa ya kulevya akiwa njiani kuelekea Mbeya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ aliyekuwa amemfungulia kesi ya kumpiga katika kituo cha Polisi cha Oysterbay, amefuta shauri hilo na kumsamehe. Rehema Chalamila ‘Ray C’.
Akipiga stori na gazeti...

 

10 years ago

Bongo5

Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo

Wakali wa Hip Hop Tanzania Rashid na Fareed a.k.a Chid Benz na Fid Q wana mpango wa kurekodi album ya pamoja. Chid ambaye ameachia ngoma mpya wiki hii ‘Kimbiza’, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds Fm kuwa mpango wa kufanya album na Fid lilikuwa ni wazo lake. “Ni idea yangu nilikuwa nayo kabla sijatoa ngoma, […]

 

10 years ago

GPL

KESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA

 Chid Benzi akitoka lango la mahakama ya Kisutu (Picha na Maktaba). Hakimu mahakama ya Kisutu, Waliarwande Lema ameahirisha kesi ya mwanamuziki, Chid Benz mpaka Des 1, 2014 kwa vile upelelezi haujakamilika.

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz atimuliwa mahakamani

Msanii  wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Makwaro ‘Chid Benz’ jana alizuiwa na askari kuingia ndani ya chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam  kwa sababu ya mavazi na mapambo yake mwilini.

 

10 years ago

Daily News

Chid Benz pleads guilty


Chid Benz pleads guilty
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), yesterday pleaded guilty to all the charges against him of unlawfully possession of narcotic drugs at Kisutu Resident Magistrate's Court. Before Principal Resident Magistrate ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani