Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku ya Sheria iwe mkombozi kwa wanyonge

KESHO ni kilele cha Siku ya Sheria nchini, ni utaratibu wa kawaida wa kila mwaka uliojiwekea mhimili wa Mahakama. Kilele hicho ni ishara ya ufunguzi rasmi wa shughuli za Mahakama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.

Na Eleuteri Mangi- Dodoma 28/11/2014. Serikali imesema kuwa VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni mwa tasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa, kuendeshwa na kusimamiwa ama kijijini, kitongojini na hata kwenye kata.
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku ya Wanawake iwe mwanzo mpya kwa wasanii wetu wa kike

MACHI 8 ya kila mwaka ni Siku ya Wanawake Duniani, ambayo husherehekewa kote duniani, ambapo Watanzania wanaungana na wengine kuipokea siku hiyo chini ya kaulimbiu ambayo kwa mwaka huu ni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli aamua sikukuu iwe siku ya kazi

Rais wa Tanzania John Magufuli ameamua hakutakuwa na sherehe za kuadhimisha Siku ya Uhuru mwezi ujao na badala yake akasema itumiwe kufanya kazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jela siku 1 iwe ilani ya Ufisadi China

Maafisa wa serikali Mashariki mwa China wamelazimika kuzuru gereza moja nchini humo kama ilani ya kutoshiriki ufisadi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanashangiliwa kwa kuua elimu ya wanyonge

Nguvu kubwa inayotumika kuigawa Tanzania na kuleta matabaka makubwa ya kiuchumi, kifikra na kiutamaduni ni kuua elimu ya Watanzania wengi maskini (wanyonge), ili wakose nguvu za kushindana katika ulimwengu wa ubunifu, uvumbuzi, ajira na biashara.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Polisi, msiwe wanyonge kwa majambazi

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema serikali yake itaimarisha masilahi ya wafanyakazi wote wakiwamo polisi, ili wasiwe wanalinda na kukosa fedha za kula nyumbani na hatimaye kusinzia vituoni na kunyang’anywa silaha.

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Ardhi ni kikwazo kwa maendeleo ya wanyonge nchini

Mimi ni mmoja kati ya wananchi waliofarijika, siku niliposikia Rais Benjamin Mkapa mwaka 2004 anamleta mtaalamu wa uchumi kuja kuisaidia Tanzania kubaini kila Mtanzania anamiliki nini kinachoweza kumsaidia kukopa katika benki na kumwinua kiuchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa

>Ukuaji wa teknolojia ni moja katika viashiria vya maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwamo Tanzania.

 

9 years ago

Michuzi

NITASIMAMIA SHERIA KWA KUWAWAJIBISHA WATAKAO PINDISHA SHERIA KWA MANUFAA YAO-DKT MAGUFULI

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli(katikati) akiwanadi Mbunge wa Handeni Mjini Dk. Abdallah Kigoda (kulia) na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Kigoda mjini Handeni.
Wakati kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani