Siku ya Sheria iwe mkombozi kwa wanyonge
KESHO ni kilele cha Siku ya Sheria nchini, ni utaratibu wa kawaida wa kila mwaka uliojiwekea mhimili wa Mahakama. Kilele hicho ni ishara ya ufunguzi rasmi wa shughuli za Mahakama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s72-c/02%2B(1).jpg)
Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s1600/02%2B(1).jpg)
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Siku ya Wanawake iwe mwanzo mpya kwa wasanii wetu wa kike
MACHI 8 ya kila mwaka ni Siku ya Wanawake Duniani, ambayo husherehekewa kote duniani, ambapo Watanzania wanaungana na wengine kuipokea siku hiyo chini ya kaulimbiu ambayo kwa mwaka huu ni...
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Magufuli aamua sikukuu iwe siku ya kazi
Rais wa Tanzania John Magufuli ameamua hakutakuwa na sherehe za kuadhimisha Siku ya Uhuru mwezi ujao na badala yake akasema itumiwe kufanya kazi.
10 years ago
BBCSwahili25 May
Jela siku 1 iwe ilani ya Ufisadi China
Maafisa wa serikali Mashariki mwa China wamelazimika kuzuru gereza moja nchini humo kama ilani ya kutoshiriki ufisadi.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanashangiliwa kwa kuua elimu ya wanyonge
Nguvu kubwa inayotumika kuigawa Tanzania na kuleta matabaka makubwa ya kiuchumi, kifikra na kiutamaduni ni kuua elimu ya Watanzania wengi maskini (wanyonge), ili wakose nguvu za kushindana katika ulimwengu wa ubunifu, uvumbuzi, ajira na biashara.
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Magufuli: Polisi, msiwe wanyonge kwa majambazi
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema serikali yake itaimarisha masilahi ya wafanyakazi wote wakiwamo polisi, ili wasiwe wanalinda na kukosa fedha za kula nyumbani na hatimaye kusinzia vituoni na kunyang’anywa silaha.
11 years ago
Mwananchi01 May
Wizara ya Ardhi ni kikwazo kwa maendeleo ya wanyonge nchini
Mimi ni mmoja kati ya wananchi waliofarijika, siku niliposikia Rais Benjamin Mkapa mwaka 2004 anamleta mtaalamu wa uchumi kuja kuisaidia Tanzania kubaini kila Mtanzania anamiliki nini kinachoweza kumsaidia kukopa katika benki na kumwinua kiuchumi.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa
>Ukuaji wa teknolojia ni moja katika viashiria vya maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwamo Tanzania.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s72-c/_MG_2991.jpg)
NITASIMAMIA SHERIA KWA KUWAWAJIBISHA WATAKAO PINDISHA SHERIA KWA MANUFAA YAO-DKT MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s640/_MG_2991.jpg)
Wakati kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania